katoto kazuri
JF-Expert Member
- Feb 10, 2018
- 6,083
- 5,659
Eti nauliza mtu akitaka kujua kuwa huyu mume nilie naye ananipenda first of all nini kinamfanya mtu adhibitishe kuwa anapendwa.
Kwa maana leo badala ya mume wangu kunipeleka hospitalini ananipa hela yakwenda hospitalini. Naharaka hela hiyo hapo nenda hospitali siuna BIMA.
Basi kaishia .........Mapenzi niliyozoea kwenye hii miaka alikuwa ananipeleka hospitali nakutaka kujua hali yangu..... Ila kwa siku hizi mapenzi kwetu nikudharauliana kama hivyoo. Seriously mimi mama JJ leo nimeachwa mataa. Naumwa hapa sana .
Ila mwenzenu yupo busy. Siuna Bima seriously anakupa hela kama mfanyakazi wake so nimemzalia watoto ndio kazi nilikuwa nafanya kwake. Hii imenikeraa.
Goodmorning soon to be afternoon
Kwa maana leo badala ya mume wangu kunipeleka hospitalini ananipa hela yakwenda hospitalini. Naharaka hela hiyo hapo nenda hospitali siuna BIMA.
Basi kaishia .........Mapenzi niliyozoea kwenye hii miaka alikuwa ananipeleka hospitali nakutaka kujua hali yangu..... Ila kwa siku hizi mapenzi kwetu nikudharauliana kama hivyoo. Seriously mimi mama JJ leo nimeachwa mataa. Naumwa hapa sana .
Ila mwenzenu yupo busy. Siuna Bima seriously anakupa hela kama mfanyakazi wake so nimemzalia watoto ndio kazi nilikuwa nafanya kwake. Hii imenikeraa.
Goodmorning soon to be afternoon