Equation x
JF-Expert Member
- Sep 3, 2017
- 29,403
- 40,320
Si kila aliyezeeka ni mstaarabu,kumbuka pia kuna wahuni waliozeeka..
Mi nmesikitika sana kwa hio zereu aliyokuonyesha mama mkwe.
Tusi peke yake lilikua dogo sana ungemsindikiza na mitama kabisa.
Kuna wakwe wengine wanakuaga ni wakuda kinoma dawa yao ni kuwatembezea mitama tu, akinyanyuka unamlamba mwingine mpk akili imkae sawa, mkwe anashindana na mkwe wake kama vile wote ni wake wenza banaaaa.Ushauli ni kwamba, mama wa mumeo ni mama yako! Kama huwezi mheshimu mama wa mumeo hata mama yako huwezi kumuheshimu!
Rest In Peace!
Mi nmesikitika sana kwa hio zereu aliyokuonyesha mama mkwe.
Tusi peke yake lilikua dogo sana ungemsindikiza na mitama kabisa.
Au tutasubiri wazime umemeNi kweli, baadae uje basi tuzime taa
Mambo ya multiple I'd hayo, alisahau kulogout
Hebu mwaga busara na hekima zako uokoe hii ndoa Shadeeya, vijana hawaDuuh!