CONTROLA
JF-Expert Member
- Sep 15, 2019
- 6,939
- 22,979
Nilijikuta tu si unajua mdomo kuteleza jamani
Mama mkwe kaja kanikuta nadeki bila hata kuomba dekio afute miguu
au hata avue viatu ndio aingie ndani, yeye akapita vile vile na maviatu yenye matope.
Namuuliza "mama mbona unachafua wakati unaona nadeki na hapajakauka"? akanijibu "ndio kazi yako"
Nilijikuta nimeropoka tusi moja zuri tuuuu, bahati nzuri akalisikia hilo tusi taarifa zikamfikia Mume wangu, aliporudi hakutaka Kujua nini
Alinifungashia kila kilicho changu na kuniambia nikatafute mume sehemu nyingine..
Nishaurini nifanyeje maana nataka kujiua mimi.....
Mama mkwe kaja kanikuta nadeki bila hata kuomba dekio afute miguu
au hata avue viatu ndio aingie ndani, yeye akapita vile vile na maviatu yenye matope.
Namuuliza "mama mbona unachafua wakati unaona nadeki na hapajakauka"? akanijibu "ndio kazi yako"
Nilijikuta nimeropoka tusi moja zuri tuuuu, bahati nzuri akalisikia hilo tusi taarifa zikamfikia Mume wangu, aliporudi hakutaka Kujua nini
Alinifungashia kila kilicho changu na kuniambia nikatafute mume sehemu nyingine..
Nishaurini nifanyeje maana nataka kujiua mimi.....