Habar za uchaguz Wakuu,polen na heka heka
Mim ni Bint Wa miaka24 naish na Mwenzgu hatujazaa bado, tabia ya mwenzagu inanikera kwakeli anatabia ya kurud usiku sana sa 10 mpk 11 siku nyingne nimeongea nimechoka siku iz namuanglia tu nshawambia wazee,wazaz lakin mwezng hasikii kwa madai yake anakuwa na washkaji bar( sijui wao hawana familia) hii imekuwa tatzo kwangu mpk nimezoea nimeamua kukaa kimy.
Kitu kingne ni suala LA mtoto sote tunahuitaj Wa mtoto Hosp wanasen mim nipo sawa ( yey hajapima) lakin nikimuuliza mwenzgu labda ktk pita pita zake ashawahi kumpachika bint mimba anakaa sa iv nikimuuliza anasema yupo ina miez mitatu Mara nakutania hakuna kitu km icho nanyamaza tu ikipta km miez nkamuuliza tena akakubali yupo anayo baadae anasema nakutania namuaglia tu
Sasa leo tumewasilian vzr tu baadae sim yang ikaaita kumbe imejipinga naskia saut anaongea na m.ke kweny gari nimewackilza sana tu.
Nashindwa kumuelewa kbs huyu bwana wakuu naomba mnisaidie bado cjafunga ndoa mim ndo nasita sita naogopa mno nahis hata mimba haingii ni Mungu tu ananiepusha na kitu nimevumilia mno ila moyo unauma mno aisee ( polen kwa kuwachosha) nahitaj ushaur Wa faraja sio matus