Kama ni boifrendito tu[a kule tena mbali sana hukooo mtaroni...lakin kama ni mume hapo pagumu kwakweli maana kumuacha unakua haujasolve tatizo na ukicheki una watoto wanaowahitaji wazaz wote wawili...yan sijui ntamfanya nn ila humo ndani atakuona pachungu kama klolokwini,maana hana sababu ya kucheat na kama nimekosea kitu angenambia kwanza ili nijue wapi nakosea
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.