kweli ndoa ni mtihani mgumu.....ni vizuri wao wazungumze kwanza,hatuwezi kukushauri bila kwanza kujua kwanini mume anaangalia porno kiasi hicho.....manake kuangalia porno si kilema ila anapokuwa addicted,kuna maswali kama mke yapaswa uwe na majibu yake ili kama unaweza kumsaidia then umsaidie....nashauri azungumze tu kwa upole na mumewe then from there twaweza shauri.....!!