Mume amuua mkewe kisa futari!

Mume amuua mkewe kisa futari!

Status
Not open for further replies.
Kwani futari lazima upikiwe na mwanamke?kama kwamba yeye hajui kupika hata uji.
Hapa issue sio futari,ni mapenzi.
 
TRUTH SHALL ALWAYS TRIUMPH, NOT MATTER WHAT AMOUNT OF FORCE YOU ARE USiNG TO DENY IT. I HOPE YOU UNDERSTAND YOU INFIDELS.
 
Mh?kwan Kupika Kaz?huyo Ana Ugonjwa Wa Akili,apelekwe Milembe,laaanatullah,na Saumu Apo Hana Kabisa,wallahu Aalam,
 
KWANI MADA NI YA DOTO,AU UISLAM?MBONA MNACHANGANYA KHABARI NYIE MAKAFIR? ACHEN KUKASHFU DINI ZA WATU, Nyie Wala Nguruwe
 
Mapenz yanaua! Mwanaume mmoja anayejulikana kwa jina la Dotto.anahusishwa na mauwaji ya mkewe anaye itwa Zainabu Bakari kwa kumchoma kisu na kusabisha kifo chake! Et kisa kukataa kurudiana naye ili awe anampikia futari katka mfungo huu wa mwez mtukufu wa ramadhan.

"Enyi mlioamini (Waislaam) ! Akikujieni Mpotofu (Kafiri) na habari yeyote, (basi) ichunguzeni kwanza, msije mkawasibu watu kwa kutojuwa, na mkawa tena wenye kujuta kwa mliyoyatenda (baada ya kupotoshwa na huyo Kafiri) Qur'an: 49:6.
 
Dini yenyewe kitendawili.

Jibu lako Kafiri hili hapa;

'Basi yule ambaye Mwenyezi Mungu anataka kumhidi, humfungulia kifua chake kwa UISLAAM. Na anaye taka apotee hukifanya kifua chake kina dhiki, kimebana kama kwamba amepanda mbingu. Namna hivi Mwenyezi Mungu amejalia uchafu juu ya wasio amini (Makafiri)
Qur'an; 6:125.
 
Status
Not open for further replies.
Back
Top Bottom