Mapenz yanaua! Mwanaume mmoja anayejulikana kwa jina la Dotto.anahusishwa na mauwaji ya mkewe anaye itwa Zainabu Bakari kwa kumchoma kisu na kusabisha kifo chake! Et kisa kukataa kurudiana naye ili awe anampikia futari katka mfungo huu wa mwez mtukufu wa ramadhan.
Dini yenyewe kitendawili.