Kwenye hili tukio ni Mwandishi wa gazeti moja tu alikuwepo? Tupate uhakika kutoka vyombo vingine vilivyokuwepo katika tukio hilo ili niweze kuamini. Mi nawafahamu waalimu hawako hivo. Hawawezi kumpiga kiongozi wao. Hata kama hawakubaliani wangekaa kimya ila wangebaki na msimamo wao. Kama walimu wamefika hapo basi taifa limekwisha.