Wild Flower
JF-Expert Member
- Jul 20, 2023
- 844
- 1,608
Jeshi la Polisi Kanda Maalum ya Dar es Salaam, kupitia Kamanda Oktoba 15, 2025 Jummane Muliro, ameeleza kuwa kila Mtanzania ana haki ya kupiga kura hivyo Oktoba 29 wajitokeze kwenda kupiga kura bila hofu.