Mulika Mwizi

Mkaa Mweupe

JF-Expert Member
Jun 29, 2007
654
183
Katika hali iliyonistua, maeneo ya soko la Segerea kulikuwa na mkandarasi anayeweka "headwalls" kwenye "culvert" jipya linalojengwa eneo hilo.

Jambo la kushangaza ni kuwa, zege ilikuwa inamiminwa bila ya uwepo wa consultant hivyo kutoa mwanya kwa mkandarasi kufanya kazi dhahifu.
1. Zege ilikuwa inashindiliwa kwa kibao bila ya kutumia concrete poker.
2. Chuma ilikuwa inawekwa kwenye zege baada ya kumimina kiasi fulani cha zege.
3. Chuma ni chache mno kulinganisha na uelewa wangu juu ya chuma kinachohitajika kwa ajili ya headwall.
4. Chuma ni dhahifu mno.
5. Formwork ni ya kuokoteza.
6. Zege limeshaanza kunyauka kabla haijamiminwa (moisture content - low)

Angalia video hii kwenye attachment ujiridhishe. Sitaki maswala ya kuulizana data source.
 

Attachments

  • VID 00034.zip
    4.2 MB · Views: 63
Nadhani mkuu hapo umepotoka, when you talk of technology is a broad term. I posted here purposely because its a concern in a conctruction technology. kwa hiyo usikariri kuwa technologia ni kompyuta na elektroniki pekee.
 
Nadhani mkuu hapo umepotoka, when you talk of technology is a broad term. I posted here purposely because its a concern in a conctruction technology. kwa hiyo usikariri kuwa technologia ni kompyuta na elektroniki pekee.

Mkuu hata ukufika tume ya Sayansi na Teknolojia wao wako bize na hayo tu
 
Mtoa mada yuko sawa! Hapa ni mahali pake. Wenzetu walioendelea vitu vyote hivyo hupimwa kwa computer.
 
Badala ya kuchangia mada watu tumeanza kubishana jambo la kitoto, kwani ujenzi siyo teknolojia au sayansi?
 
Tunapoongelea technology huwez acha zungumzia engineering(designing) na kwa wale wanaosoma engineering lazima mwanzo afundindishwe basics za civil,drawing na mechanical bila kujali anataka kubobea katika fani gan ya engineering. Na kitu kimojawapo wanachoambiwa ktk civil studies ni kwamba "civil is backbone of all engineering courses" which is true. So mleta mada hajakosea kupost such content hapa.
 
Kwa case ya zege nadhan itakuwa poor mixing ratio ya binder/cement, coarse & fine agregates, pamoja na maji. Af nadhan hata hao contstructors watakuwa laymans sasa wanaweka chini large amount ya zege kabla ya nondo hawajui kwamba hiyo zege itabanduka due to tension forces? Wanafanya kaz bure.
 
Back
Top Bottom