waislamu wa milama,bulembo pale kamachumu wanafurahia huduma ya ndolage hospital bila kusaau maeneo ya buganguzi wafurahia huduma ya rubya..hizo pumba wanaziendekeza waislamu wa kariakoo na bagamoyo.
Nilikuwa Peramiho intern wagonjwa kama 20-40% ni Muslim na hapa kuna huduma ambazo zinatolewa bure kwa wakubwa na watoto.
Watoto kati ya mwaka 0-10yrs Hawalipi dawa wala vipimo vya maabara.
Wakubwa hawalipi vipimo kama BS, HB, STOOL, URINE NA SUKARI.
Registration fee ni 1000Tsh.
Jamani tuseme ukweli wapi utapata huduma kama hizi bure kama hivi. Ultrasound 5000/=, xray 5000/= kwa ujumla hela ambayo inakusanywa na hospitali haitoshi hata kuwalipa wafanyakazi wake na serikali imeamua kuchukua wafanyakazi wake wote iwalipe lakini wako chin ya mishen. Peramiho is the most trusted hospital in southern highlands. Mgonjwa akiangukiwa dawa hospital ya mkoa hanywi mpaka aje ajiulize peramiho. Nafikiri Muslim wafike mahali welewe huduma hizi ni za wote. Cha kushangaza wafanyakazi kibao wapo ambao ni Muslim wapo hapa mfano wapo akina Dr shaban, Dr Mansouri na manesi na wengine kibao. Ingekuwa hospital ya kiislam kama ungeona mkristo hata mmoja. Mfano nenda Agakhan utaona kama wapo wakristo basi wamepigiwa mapande. Nawashukuru wazazi wangu walinilea katika misingi ya kikristo kwenye upendo na wala hakuna kulipana visasi si kama walivyo hawa wenzetu. Jk kila mwaka anasafirisha mahujaji wa kiislam 100 mbona sisi hatusemi.
Nampongeza shehe mkuu wa Dsm jana TBC alipinga maandamano hayo. Naona ameanza kuelewa kama si kapoozwa na ikulu kwa posho za safari za uarabuni. Nawakilisha
Kila kitu kinawaonea waislam..... Hivi mmeshachunguza vizuri kweli kama mungu nae hawaonei?
Hivi ukitaka kusaidia lazima uingie mkataba?
Mkataba ni neno la kisheria. Msingi wa kwanza kabisa wa sheria ya mikataba unasema mkataba shurti uwe na unachopata in return, consideration. Na hivyo, kama kuna kitu unapata in return, basi huo sio msaada.
Kwa nini tunaambiwa makanisa yanatoa "msaada" wakati kuna "mkataba" unachowapa something in return?
Hivi ukitaka kusaidia lazima uingie mkataba?
Mkataba ni neno la kisheria. Msingi wa kwanza kabisa wa sheria ya mikataba unasema mkataba shurti uwe na unachopata in return, consideration. Na hivyo, kama kuna kitu unapata in return, basi huo sio msaada.
Kwa nini tunaambiwa makanisa yanatoa "msaada" wakati kuna "mkataba" unachowapa something in return?
Na ma-shoping mall ya mlimani city ni kazi ya mbaguzi nani? Yale ya Manji ni kazi ya mbaguzi nani? Na ma-precision air ni kazi ya mbaguzi nani? KUMBE HUJUI KUWA HERI MWENDA BURE KULIKO MKAA BURE? Mwenda bure huenda akaokota. Nyie ni wa kulalamika tu... Ndiyo maana umeme ukikatika siku ya Eid huwa mnalalama... KUNA SIKU MTAMLALAMIKIA MUNGU KWA KUNYESHA MVUA SIKU YA EID.naona mnaongelea matokeo ya hizi hospitali.. Hivi hamjiulizi kwa nini zaidi ya asilimia 50 ya huduma za kijamii zinztolewa na katoliki?? Na ukizunguka tanzania nzima karibu kila wilaya kanisa katoliki lina miliki maeneo makubwa ya ardhi..hayo maeneo aliwapa nani?? Na kwa nini dini nyingine hazina haya maeneo?(kazi ya mbaguzi nyerere). Sisi waislamu tunachohitaji ni usawa tu.. Acheni ushabiki wa kidini after all hapa duniani tunapita leo umeshiba na afya njema unaweza kukaa mbele ya computer yako au simu ukaandika kwa kutumia hisia tu kesho haupo..
Kila kitu kinawaonea waislam, Serikali ya Tanzania, Makanisa ya Tanzania, NECTA, HESLB, Serikali ya USA, Nchi za Ulaya, Vibaraka wa USA huko Arabuni, Wachina, JF, BAKWATA, East Africa Community, Russia, Wachina wooooote wanawaonea Waislam....poleni sana Waislam. Hivi mmeshachunguza vizuri kweli kama mungu nae hawaonei?
Kuna fisadi anakubali?
Kwanini Serikali isiendeshe hizo huduma yenyewe? kwanini waislaam wakalazwe vitanda vyenye misalaba? ambayo ni "symbol" ya upagani?
Ni kwa sababu tu, leo hii huwezi kumtoa Muislaam kwenye dini yake na imani yake kwa Kumhubiria tu kama vile ambavyo wakristo wanaondolewa huko, kwa kuoneshwa tu ukweli uko wapi.
Hospitali, shule, vyakula, ngoma na mziki makanisani, ni vitu ambavyo vinafanywa kwa malengo. Malengo ni kuwatoa watu kwenye imani zao na kuwaingiza kwenye upagani (kuna kila ushahidi kuwa ukristo ni upagani, hususan roman catholic).
Na kwa kuwa mfumo uliopo (ambao ulijengwa na Nyerere) ni wa kuwa Ukristo (hususan RC) katika karibu kila sehemu muhimu na nyeti za utendaji Serikalini una wafuasi muhimu na wanajuwa nini wanakifanya, ni lazima haya tuyaone, lakini Waislaam tunasema, ngoma ikivuma sana mwishowe hupasuka. Tulikuwa hatuyajuwi hya na tukiyaona ni mema (kama hao Waislaam wa Muleba na kwingine), lakini wengi wetu tumeshaona ni kwanini na kwa faida ya nani. Katu hatutarudi nyuma na tutalipinga hili "mpaka kieleweke".
Ama serikali kwa kutumia fedha hizohizo inazowapa wakristo wafunguwe hospitali na vituo vya afya vingine ama waachane na huu ubadhirifu na ufisadi wa hali ya juu. Kwanini Kanisa au Serikali vitegemeane wakati Serikali haina dini?
Wakati Waislaam walikuwa na mikakati ya vyuo vikuu, mahospitali na huduma za kijamii kupitia EAMWS, Nyerere aliiuwa hii kwa makusudi kabisa na kuleta BAKWATA ambayo ni chombo chake kilichohakikisha yote mema kwa Waislaam hayafanyiki kwa kuwatumia haohao Waislaam aliowataka yeye.
Haya yote tunayajuwa na hizi "propaganda" za sijui Muleba sijui Peramiho hazijaanza leo. Fumbo hufumbiwa mjinga. Tutafika.
Sababu za Nyerere kutaka kupewa uwenye heri na utakatifu?
Waambie wasilale wafe. Kama Mwislam hataki mwambieni aache kwani halazimishwi, mimi nafikiri maandamano yalitakiwa yawe ya kupinga waislam wote wasiende Shule za Wakristo c wasiende Hospitali za Wakristo na pia wasisome vyuo vya Wakristo, hapo nitawaelewa na wale wote waliopo waondoeni mara moja! Huo ndio msimamo makini. Usimkatae kitimoto wakati umeshiba lakini ukiwa na njaa ni rukhsa kumla! Huo ni unafki wa hali ya juu sana na hapo ndipo huwa nawadharau sana kuwa hamna maamuzi sahihi zaidi ya malalamiko. Hamna lolote domo tu
Uislaam huujuwi, ungeujuwa usingesema hayo. Kwako wewe hujuwi kitu kidogo sana, Uislaam ni kujisalimisha kwa Mwenyeezi Mungu na kuachana na upagani.
Sasa nyinyi mnaojidanganya kuwa ukristo (huu wa Kiroma) ni dini, ndio mliopotea waziwazi, msalaba una maana ipi kama si Upagani? masananmu yana maana ipi kama si upagani, vatikan yenyewe imejengwa kwa kuabudu moto na upagani mtupu hata majengo yake yanaashiria hilo, sherehe za krismasi zina maana ipi kama si upagani? Jee hujioni kuwa wewe unaetetea Upagani kuwa ni punguwani. Mapagani wanakuaminisha kuwa Mwanaadam mwenzako ni Mungu na wewe kama msukule unafata tu, na unachangia fungu la kumi bila kusita, hata akili yako inashindwa kujiuliza. Pole sana.
Kwa kuwa nyinyi mshafanywa misukule na mapagani wa ki Roma basi mnataka kila mmoja duniani awe kama nyinyi akitaka asitake, lakini hilo limepitwa na wakati: Muslims more numerous than Catholics: Vatican | Reuters
sasa hadi TIGO na TCRA nao wamejumuishwa.
Kuna fisadi anakubali?
Kwanini Serikali isiendeshe hizo huduma yenyewe? kwanini waislaam wakalazwe vitanda vyenye misalaba? ambayo ni "symbol" ya upagani?
Ni kwa sababu tu, leo hii huwezi kumtoa Muislaam kwenye dini yake na imani yake kwa Kumhubiria tu kama vile ambavyo wakristo wanaondolewa huko, kwa kuoneshwa tu ukweli uko wapi.
Hospitali, shule, vyakula, ngoma na mziki makanisani, ni vitu ambavyo vinafanywa kwa malengo. Malengo ni kuwatoa watu kwenye imani zao na kuwaingiza kwenye upagani (kuna kila ushahidi kuwa ukristo ni upagani, hususan roman catholic).
Na kwa kuwa mfumo uliopo (ambao ulijengwa na Nyerere) ni wa kuwa Ukristo (hususan RC) katika karibu kila sehemu muhimu na nyeti za utendaji Serikalini una wafuasi muhimu na wanajuwa nini wanakifanya, ni lazima haya tuyaone, lakini Waislaam tunasema, ngoma ikivuma sana mwishowe hupasuka. Tulikuwa hatuyajuwi hya na tukiyaona ni mema (kama hao Waislaam wa Muleba na kwingine), lakini wengi wetu tumeshaona ni kwanini na kwa faida ya nani. Katu hatutarudi nyuma na tutalipinga hili "mpaka kieleweke".
Ama serikali kwa kutumia fedha hizohizo inazowapa wakristo wafunguwe hospitali na vituo vya afya vingine ama waachane na huu ubadhirifu na ufisadi wa hali ya juu. Kwanini Kanisa au Serikali vitegemeane wakati Serikali haina dini?
Wakati Waislaam walikuwa na mikakati ya vyuo vikuu, mahospitali na huduma za kijamii kupitia EAMWS, Nyerere aliiuwa hii kwa makusudi kabisa na kuleta BAKWATA ambayo ni chombo chake kilichohakikisha yote mema kwa Waislaam hayafanyiki kwa kuwatumia haohao Waislaam aliowataka yeye.
Haya yote tunayajuwa na hizi "propaganda" za sijui Muleba sijui Peramiho hazijaanza leo. Fumbo hufumbiwa mjinga. Tutafika.
Sababu za Nyerere kutaka kupewa uwenye heri na utakatifu?
Hivi ukitaka kusaidia lazima uingie mkataba?
Mkataba ni neno la kisheria. Msingi wa kwanza kabisa wa sheria ya mikataba unasema mkataba shurti uwe na unachopata in return, consideration. Na hivyo, kama kuna kitu unapata in return, basi huo sio msaada.
Kwa nini tunaambiwa makanisa yanatoa "msaada" wakati kuna "mkataba" unachowapa something in return?
Uislaam huujuwi, ungeujuwa usingesema hayo. Kwako wewe hujuwi kitu kidogo sana, Uislaam ni kujisalimisha kwa Mwenyeezi Mungu na kuachana na upagani.
Sasa nyinyi mnaojidanganya kuwa ukristo (huu wa Kiroma) ni dini, ndio mliopotea waziwazi, msalaba una maana ipi kama si Upagani? masananmu yana maana ipi kama si upagani, vatikan yenyewe imejengwa kwa kuabudu moto na upagani mtupu hata majengo yake yanaashiria hilo, sherehe za krismasi zina maana ipi kama si upagani? Jee hujioni kuwa wewe unaetetea Upagani kuwa ni punguwani. Mapagani wanakuaminisha kuwa Mwanaadam mwenzako ni Mungu na wewe kama msukule unafata tu, na unachangia fungu la kumi bila kusita, hata akili yako inashindwa kujiuliza. Pole sana.
Kwa kuwa nyinyi mshafanywa misukule na mapagani wa ki Roma basi mnataka kila mmoja duniani awe kama nyinyi akitaka asitake, lakini hilo limepitwa na wakati: Muslims more numerous than Catholics: Vatican | Reuters
FF acha hizo dini yako ndiyo ya kipagani