Labani og
JF-Expert Member
- Sep 15, 2020
- 22,854
- 32,657
"Nimecheza na Yanga mara mbili nadhani sasa mechi ijayo ni muda wa kuwafunga kwa sababu hamna tena kisingizio, najua mechi itakuwa ngumu lakini tutajitahidi kadri ya uwezo wetu tushinde".
Mshambuliaji wa Simba Steven Mukwala akizungumza kuhusu mechi ya Ngao ya Jamii September 16, Mukwala ameyasema hayo alipokuwa akihojiwa na waandishi wa habari baada ya Simba kuwasili Tanzania wakitokea Misri kwenye Pre season.
#scopeboii #ScopeMedia
Sent from my TECNO KG5j using JamiiForums mobile app
Mshambuliaji wa Simba Steven Mukwala akizungumza kuhusu mechi ya Ngao ya Jamii September 16, Mukwala ameyasema hayo alipokuwa akihojiwa na waandishi wa habari baada ya Simba kuwasili Tanzania wakitokea Misri kwenye Pre season.
#scopeboii #ScopeMedia
Sent from my TECNO KG5j using JamiiForums mobile app

