Mukama, Lowassa wamchefua JK

Mkwerè mwenyewe mbona kichefuchefu.
 
Kikwete anashangaza sana. Kwa nini anaamini katika gfalsafa ya funika kombe mwanaharamu apite? yaani anaamini kabisa kuwa haya mambo yalimalizwa kistaarabu Dodoma! kama anaamini hivyo, basi na yeye hafai kuwa mwenyekiti wa chama kikubwa kama CCM. Inuka Kikwete, chukua uongozi angalau mara moja, kuchelea kwako kuchukua maamuzi ndani ya CCM na serikali kunaiumiza nchi
 
A
Cjui umemaanisha nini hapo
 
Kuna usemi ambao nakutana nao humu jf mara kwa mara ukisema ccm ni sawa na bomu ambalo linasubiri kulipuka muda wowote na kutokana na haya malumbano yanazidi kunidhihirishia ukweli wa huu usemi
 
Naona hatari hapo mbeleni...lowasa anakuja kivingine na mukama kivingine...vita vya panzi furaha kwa kunguru,wacha wajeruhiane ili mwisho wa siku lichama lao life tu!
 
"Vyote kwa pamoja"
 

Hii tamthilia babu kubwa
 
inashangaza watanzania wanzangu msivyoweza kugundua mchezo tunaochezewa na ccm,mwisho wa siku viongozi wa ccm watasimama jukwaani na kumnadi LOWASA kama mtu safi na mgombea halisi wa uongozi wa chama na sirikali!! sijui mtaficha wapi nyuso zenu.POLENI KWA KUTOGUNDUA NYAKATI NA KUJIAANDAA KUZIKABIRI NYAKATI.
 
Hii nchi imevimba kuna siku itapasuka, huu uchafu wote wa richmond, rada, epa, kiwila, nk watanzania tunauona, tunaujua na wanatucheza shele tu pia wakibai time, wao wakigawana rasilimali za nchi hii nasi tuko kimyaaaa... Na ninaamini apo wananchi tutakapoamua kujivua gamba na kuyatia sindano masabuli yao hasa jeike, el, ben, ac haki yamungu kitaeleweka
 

mkuu unatuchanganya membe ameingiaje kwenye mada!
 
Mukama ndiye atakayekimalizia chama kama ni kuua nyoka yeye amekuja kuponda kichwa.
 
mkuu unatuchanganya membe ameingiaje kwenye mada!

Wala usishangae mkuu. Membe amekuwa ni mwiba mchungu kwenye nyama ya Lowassa na hili unaloliona humu ndilo linaloendelea hata kwenye vikao vyao na hata kumfanya jamaa kukosa usingizi na kuzorotesha afya yake. Mada inahusiana na Mukama na Lowassa lakini woga na kuchanganyikiwa kukampa huyu jamaa fursa ya kuingiza neno Membe ili hamu yake iishe. Tutaona mengi sana kati ya sasa na 2015. Lakini wajue mtu wao ni kofia ya polisi mbele ya wapiga kura wanyonge. Anunue hao hao akina Mgeja na Guninita.
 
utaratibu upi wa chama kama NEC haiwezi kuwafukuza?.....kuwaroga lol.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…