dosama
JF-Expert Member
- Dec 25, 2010
- 912
- 957
Source Nipashe
Katibu mkuu wa Magamba Wilson Mukama amefagilia matusi wa gamba mwenzie mh Deadstone na kusema kayafanya hayo kwa kuwa alikuwa anajibu mapigo ya Chadema
My take
Watanganyika anayeipenda ccm kwa mpango huu kweli lazima uwe na akili za maiti mbona hakuyataja matusi waliotukanwa kama ushahidi
Hivi iweje chama kishadadie matusi??????
Wakati huo huo wanadai Lema alimtusi Dr Batilda Buliani bila ushahidi Chadema na wananchi tunao wa kwao
Ni ustarabu gani ccm wanao.
Hivi wanaelimu gani vile hawa au wote ni kama majimarefu na uprofu wa mashetani
Nimegundua walimtuma wenyewe
Katibu mkuu wa Magamba Wilson Mukama amefagilia matusi wa gamba mwenzie mh Deadstone na kusema kayafanya hayo kwa kuwa alikuwa anajibu mapigo ya Chadema
My take
Watanganyika anayeipenda ccm kwa mpango huu kweli lazima uwe na akili za maiti mbona hakuyataja matusi waliotukanwa kama ushahidi
Hivi iweje chama kishadadie matusi??????
Wakati huo huo wanadai Lema alimtusi Dr Batilda Buliani bila ushahidi Chadema na wananchi tunao wa kwao
Ni ustarabu gani ccm wanao.
Hivi wanaelimu gani vile hawa au wote ni kama majimarefu na uprofu wa mashetani
Nimegundua walimtuma wenyewe