Muingiza data (data entry) kwa Finance Solution anatakiwa

Muingiza data (data entry) kwa Finance Solution anatakiwa

Tujikomboe Finance

JF-Expert Member
Joined
May 8, 2013
Posts
212
Reaction score
81
Tuna uhitaji wa haraka wa mtu anayejua kutumia sofware ya Finance Solution kwa ajili ya kuingiza data za mikopo na miamala ya fedha kwenye mfumo huu. Ofisi zetu zipo Mbagala rangi tatu Temeke.

Sifa za mwombaji:
  • Awe amewahi kutumia Finance Solution au system yoyote inayohusiana na mikopo
  • Awe na taaluma ya uhasibu
  • Awe na umri usiozidi miaka 38

Tafadhali kama unapendezwa na hii kazi na unazo sifa stahiki. Tafadhali tuwasiliane kwa njia ya ujumbe binafsi (Private inbox) au kwa barua pepe: tujikomboetz@yahoo.com kabla ya 06th November 2016.
 
Have I had a finance solution knowledge and/or experience this opportunity have had been mine...for the time being ...let me pass by!!!
 
Tuna uhitaji wa haraka wa mtu anayejua kutumia sofware ya Finance Solution kwa ajili ya kuingiza data za mikopo na miamala ya fedha kwenye mfumo huu. Ofisi zetu zipo Mbagala rangi tatu Temeke.

Sifa za mwombaji:
  • Awe amewahi kutumia Finance Solution au system yoyote inayohusiana na mikopo
  • Awe na taaluma ya uhasibu
  • Awe na umri usiozidi miaka 38

Tafadhali kama unapendezwa na hii kazi na unazo sifa stahiki. Tafadhali tuwasiliane kwa njia ya ujumbe binafsi (Private inbox) au kwa barua pepe: tujikomboetz@yahoo.com kabla ya 06th November 2016.
safi sana vijana wanakuja
 
Back
Top Bottom