Muingiliano wa Mawasiliano kwenye Mapenzi,.

Muingiliano wa Mawasiliano kwenye Mapenzi,.

mihadarati

JF-Expert Member
Joined
Aug 27, 2013
Posts
268
Reaction score
74
Wana MMU habar za muda huu!
Jambo hili naweka hapa limenitokea muda huu tu,nikasema niliweke hapa ili kusaidia wengine watakaokumbwa na tatizo kama hilo,lakini pia kusaidai katika ufafanuzi.

Nilikuwa naongea na Mtu wangu wa karibu mara ghafla nikasikia kama mtu mwingine yupo karibu yake akazungumza kwa sauti hadi akanifanya nisimsikie mzungumzaj wangu na akazungumza kitu tofauti na mada tuliyokuwa tunazungumza,baada ya sekunde kadhaa nikamsikia tuliyekuwa tunaongea nae nilipomuuliza juu ya utofauti wa mtu aliyeongea akakataa kabisa na akawa haelewi nachomuuliza.

Tukaendelea na mazungumzo baada ya dakika kama 2 nikasikia sauti ya mwanaume anamwambia rafiki yangu wew unaongea tu na baasha zako mbona hujanipigia mimi simu,sauti hiyo ikawa kama ni mtu ambaye yupo pamoja,kidogo simu yake ikakata,alipopiga nikamuuliza juu ya yaliyotokea akashangaa kwani yupo chumbani na hayupo na mwanaume basi nikagundua kuna tatizo la muingiliano kwenye mawasiliano.

lengo lango la kuweka uzi huu hapa ni kwamba kama ni mtu na mpenzi au mke na mume walikuwa wanaongea katika simu niliyoelezea hapo juu kulikuwa kuna uwezekano wa kuvunjika kwa mahusiano au kusababisha mgogoro mkubwa.

Mtandao tulikuwa tunatumia ni Vodacom.
 
Umetumwa na Tigo na Airtel eeeeeeh! So neno la mpenzi wako kwako ni sheria! Hata hubishi, wala kuchunguz zaidi? Lawama kwa voda tu!!!!!!!!????????

Tena ukasikia nanukuuu "Unaongea na mabasha zako tu! simu ikakata!!!!!!!!!" Like seriously! Unapigwa changa la macho hilo!

Siku utawafuma chumbani atakwambia MUINGILIANO WA VYUMBA alikose mlango akajua mkewe!
 
Wana MMU habar za muda huu!
Jambo hili naweka hapa limenitokea muda huu tu,nikasema niliweke hapa ili kusaidia wengine watakaokumbwa na tatizo kama hilo,lakini pia kusaidai katika ufafanuzi.

Nilikuwa naongea na Mtu wangu wa karibu mara ghafla nikasikia kama mtu mwingine yupo karibu yake akazungumza kwa sauti hadi akanifanya nisimsikie mzungumzaj wangu na akazungumza kitu tofauti na mada tuliyokuwa tunazungumza,baada ya sekunde kadhaa nikamsikia tuliyekuwa tunaongea nae nilipomuuliza juu ya utofauti wa mtu aliyeongea akakataa kabisa na akawa haelewi nachomuuliza.

Tukaendelea na mazungumzo baada ya dakika kama 2 nikasikia sauti ya mwanaume anamwambia rafiki yangu wew unaongea tu na baasha zako mbona hujanipigia mimi simu,sauti hiyo ikawa kama ni mtu ambaye yupo pamoja,kidogo simu yake ikakata,alipopiga nikamuuliza juu ya yaliyotokea akashangaa kwani yupo chumbani na hayupo na mwanaume basi nikagundua kuna tatizo la muingiliano kwenye mawasiliano.

lengo lango la kuweka uzi huu hapa ni kwamba kama ni mtu na mpenzi au mke na mume walikuwa wanaongea katika simu niliyoelezea hapo juu kulikuwa kuna uwezekano wa kuvunjika kwa mahusiano au kusababisha mgogoro mkubwa.

Mtandao tulikuwa tunatumia ni Vodacom.

kumbe we man! so whats up with that pretty girl avatar???! wengine tunazimikia avatar humu kha!
 
Teh teh teh! Kusoma hujui hata picha huon? Mwisho wacku utaambiwa muingiliano wa papuchi chezea watoto wa mujin weye
 
Hiyo kitu ipo sana
Ilipata nitokea, nilipokuwa naongea na demu wangu, alikuwa bukoba wakati me nipo dar
 
Umetumwa na Tigo na Airtel eeeeeeh! So neno la mpenzi wako kwako ni sheria! Hata hubishi, wala kuchunguz zaidi? Lawama kwa voda tu!!!!!!!!????????

Tena ukasikia nanukuuu "Unaongea na mabasha zako tu! simu ikakata!!!!!!!!!" Like seriously! Unapigwa changa la macho hilo!

Siku utawafuma chumbani atakwambia MUINGILIANO WA VYUMBA alikose mlango akajua mkewe!

hapo sasa
 
Umetumwa na Tigo na Airtel eeeeeeh! So neno la mpenzi wako kwako ni sheria! Hata hubishi, wala kuchunguz zaidi? Lawama kwa voda tu!!!!!!!!????????

Tena ukasikia nanukuuu "Unaongea na mabasha zako tu! simu ikakata!!!!!!!!!" Like seriously! Unapigwa changa la macho hilo!

Siku utawafuma chumbani atakwambia MUINGILIANO WA VYUMBA alikose mlango akajua mkewe!

Kwa nini unalazimishia kwamba n mpenz ilihali m niliyepost hapa nimesem n friends,kuhus mtandao ckuwa na maana unayofikiria wew,ila hata kama unawatetea bado unaboa --------- sms ya gud nit unaipata kesho yake.
 
Umetumwa na Tigo na Airtel eeeeeeh! So neno la mpenzi wako kwako ni sheria! Hata hubishi, wala kuchunguz zaidi? Lawama kwa voda tu!!!!!!!!????????

Tena ukasikia nanukuuu "Unaongea na mabasha zako tu! simu ikakata!!!!!!!!!" Like seriously! Unapigwa changa la macho hilo!

Siku utawafuma chumbani atakwambia MUINGILIANO WA VYUMBA alikose mlango akajua mkewe!

ha ha ha cku akiwafuma chumbani teh teh muingiliano wa vyumba nimeipenda hyo
 
huenda kweli ni muingiliano wa mawasiliano au ulidanganywa au kuna jini aliingilia hapo, yote yanawezekana.
 
Hiyo kitu ipo sana
Ilipata nitokea, nilipokuwa naongea na demu wangu, alikuwa bukoba wakati me nipo dar

Naona wengine wanaenda kwenye negative thought peke yake bila kutafuta uhalisia wa jambo.
 
Hakuna nilipoonesh kuwa niliyekuw naongea nae nina mahusiano naye ,na kama alikuw lover wangu ningewek waz hapa wana mmu
kumbe na wewe mwenyewe ni mwanamke wa kike,samahani sikuliona hilo nilikuwa nikitumia simu.
Nalog off
 
Siku utawafuma chumbani atakwambia MUINGILIANO WA VYUMBA alikose mlango akajua mkewe!

Hapo tu!
 
Hiyo mimi mwenyewe ilishanitokea ila sio kwa mtandao huo uliosema.
Kama mtu ni muelewa ataelewa tu ukizingatia uhuni.wa kampuni zetu za simu
 
Back
Top Bottom