Muhuni hadi anaitwa KIMBUNGA.

Muhuni hadi anaitwa KIMBUNGA.

Parata

JF-Expert Member
Joined
Jul 26, 2011
Posts
3,090
Reaction score
692
Saluteee kwenu
kuna bidada huku mtaani kwetu jamani yaani ni muhuni had kapewa jina la KIMBUNGA.age yake ni kama miaka 21 ivi,natamani sana siku moja nimshauri kuhusu katabia kake ila hofu yangu ni kuwa naskia ukiongea nae tu UMENASWA,yaana ana MVUTO kwelikweli,wakuu nifaneje niokoe kijana huyu anaebeba watu,na habagui wala hachagui.
 
Saluteee kwenu
kuna bidada huku mtaani kwetu jamani yaani ni muhuni had kapewa jina la KIMBUNGA.age yake ni kama miaka 21 ivi,natamani sana siku moja nimshauri kuhusu katabia kake ila hofu yangu ni kuwa naskia ukiongea nae tu UMENASWA,yaana ana MVUTO kwelikweli,wakuu nifaneje niokoe kijana huyu anaebeba watu,na habagui wala hachagui.

Aiseee!
Hii ya kuongea nae tuu alaf ndio unase naomba niwe wa mwisho kuamini.

Lakini unaweza kuwaokoa vijana kwa kuongea nao si kuongea na kimbunga.

Samahi lakini.
 
hahaha...kweli nyani haoni...si wewe umetoka kutueleza usivyojua kupenda na ndani yake ukanadi wengi uliokutana nao? Pita nae huyo pia.
 
Huyu tabia yake mbovu ndugu au hujaelewa maana ya kimbunga ni zoa zoa
hahaha...kweli nyani haoni...si wewe umetoka kutueleza usivyojua kupenda na ndani yake ukanadi wengi uliokutana nao? Pita nae huyo pia.
 
Mr kama huamini uje ujionee kama hujanasa
Aiseee!
Hii ya kuongea nae tuu alaf ndio unase naomba niwe wa mwisho kuamini.

Lakini unaweza kuwaokoa vijana kwa kuongea nao si kuongea na kimbunga.

Samahi lakini.
 
Saluteee kwenu
kuna bidada huku mtaani kwetu jamani yaani ni muhuni had kapewa jina la KIMBUNGA.age yake ni kama miaka 21 ivi,natamani sana siku moja nimshauri kuhusu katabia kake ila hofu yangu ni kuwa naskia ukiongea nae tu UMENASWA,yaana ana MVUTO kwelikweli,wakuu nifaneje niokoe kijana huyu anaebeba watu,na habagui wala hachagui.

toka naye wkend moja ukishamgegeda ndio umpe ushauri la sivyo atakutangazia mtaa mzima kuwa wewe ni joka la kibisa!
 
Saluteee kwenu
kuna bidada huku mtaani kwetu jamani yaani ni muhuni had kapewa jina la KIMBUNGA.age yake ni kama miaka 21 ivi,natamani sana siku moja nimshauri kuhusu katabia kake ila hofu yangu ni kuwa naskia ukiongea nae tu UMENASWA,yaana ana MVUTO kwelikweli,wakuu nifaneje niokoe kijana huyu anaebeba watu,na habagui wala hachagui.

npm namb yake hapa mkuu nataka nkumbwe na kimbunga
 
Hivi wewe si uli post humu kuwa Siku zote huwa huna hisia na mwanamke yeyote na unashangaa kusikia mtu kapenda mpaka anataka kujiua? Kumbe ulikuwaje mchoro na usikute wewe mwenyewe ndio unaitwa KIMBUNGA
 
We mchawi tu, unataka kuwabania masela kitaa! Acha watu wale vitu badala ya kujipa cheo cha uchungaji.
 
Back
Top Bottom