Muhoozi mtoto wa Museven alipongeza jeshi lake kwa kuwatesa wapinzani, atangaza kumteka Bobi Wine hadharani

Muhoozi mtoto wa Museven alipongeza jeshi lake kwa kuwatesa wapinzani, atangaza kumteka Bobi Wine hadharani

round kick

JF-Expert Member
Joined
Feb 3, 2025
Posts
935
Reaction score
3,014
Mods tafadhalini msipeleke post hii jukwaa la Uganda, Lile jukwaa halipo active

Hii leo taasisi ya haki za Binadamu Uganda imemuomba Muhoozi kumuachia Edward Mutwe, Mlinzi mkuu wa Bobi Wine (Mpinzani mkuu Uganda) aliemteka na kumpa mateso makali.

Muhoozi alijibu

LOO! Kama hawa watu wanathamini maisha tuliyowapa, WASIJE KUJARIBU kunitumia barua ya KIPUMBAVU kama hii tena ! Hili ni onyo lao la mwisho! Natarajia waniombe msamaha.
1-resized.jpg


Bobi Wine alionekana akiwa na mabalozi wa Ulaya, Muhoozi hakufurahishwa na jambo hilo akapost "Hili ni jambo la fedheha! @EUinUG mnachezea moto. Sawa ! (EUinUG ni wawakilishi wa Umoja wa Ulaya walioko Uganda)
2-resized.jpg


TUMEWAWEKA ALAMA wote, hususan huyu anayemsalimia Kabobi kwa mkono.
5-resized.jpg


Nawajibika kikamilifu kwa vitendo vya wanajeshi wangu, ikiwemo kumshushia kipigo kizito kwa muda mrefu Eddie Mutwe, kile ni kionjo tu !
3-resized.jpg


Wakati wa uchaguzi huu ujao, Wazungu walioko hapa nchini ambao hawamuungi mkono Mzee kwa moyo wote, wanapaswa kuwa makini. Tutawafukuza hadharani wasaliti wote!
4-resized.jpg


Sikufanya chochote kwa Eddie... Ninakuja kwa yule mjinga asiye na elimu anayeitwa Kabobi! Nitamteka hivi karibuni!"
9-resized.jpg


Bazungu wanaona wanaweza kunitisha? Nilikuwa nakabiliana nao kila wakati Sweden nikiwa mdogo, kupigana nao ilikuwa kama kupata breakfast, chakula cha mchana na usiko, Niko tayari kwao kila wakati
10-resized.jpg


Mimi, Muhoozi Kainerugaba, mwana wa Museveni, nina nguvu nchini hapa kumtimua balozi yeyote nisiempenda
11-resized.jpg


Tulimkamata KB, kisha Eddie Mutwe, sasa ninawaahidi Kabobi. Bado mnafikiria huu ni utani ? Bado sijaanza!
(KB ni Kizza Besigye mpinzani mkongwe alitekwa mwaka jana)
12-resized.jpg


Je, nilimpiga Eddie vya kutosha ? Wanaounga mkono wa retweet. Wanaopinga wa like.
13-resized.jpg


Tulipiga mujinga!! (Pichani ni Edward aliyetekwa na Muhoozi, aliteswa sana )
14-resized.jpg


Ninajivunia sana kwamba jeshi letu kubwa limetoa kipigo kikali kwa Eddie Mutwe ! Na bado tutapiga wengi zaidi.
15-resized.jpg


Mungu ibariki Uganda! Mungu libariki Jeshi la Uganda (UPDF) na Jeshi la Rwanda (RDF)
Mungu ibariki Rwanda.
16-resized.jpg



Ikiwa mtu yeyote kutoka NUP (chama kikuu cha upinzani) atafikiria kuanzisha maandamano Kampala, naahidi KUMUUA awe mwanaume au mwanamke. Hiyo ni ahadi yangu!
17-resized.jpg


Pia unaweza kusoma Muhoozi akijisifu kumteka Edward na mateso aliyompa

 
Dogo kalewa madaraka. Baba yake hajawahi kua hivyo japokua ni yeye. Huyo is not a leader by birth bali kwa kusakiziwa.
But this is Africa.
 
Dogo kalewa madaraka. Baba yake hajawahi kua hivyo japokua ni yeye. Huyo is not a leader by birth bali kwa kusakiziwa.
But this is Africa.
kashapewa cheo cha amiri jeshi mkuu wa Uganda, bado kupewa Uraisi tu.
 
kashapewa cheo cha amiri jeshi mkuu wa Uganda, bado kupewa Uraisi tu.
Mbona alipewa kitambo tuu ndo maana nmesema kalewa madaraka. Unaikumbuka ile ameitishia kenya kua ataitwangwa mpaka baba yake akaingilia kati?

Dogo hajielewi hana utulivu wa akili apunguze kuvuta bangi nchi haiendeshwi kama familia.
Na hata familia yenyewe ukiipeleka hovyo hovyo laazma ikuchenjie
 
Mbona alipewa kitambo tuu ndo maana nmesema kalewa madaraka. Unaikumbuka ile ameitishia kenya kua ataitwangwa mpaka baba yake akaingilia kati?

Dogo hajielewi hana utulivu wa akili apunguze kuvuta bangi nchi haiendeshwi kama familia.
Na hata familia yenyewe ukiipeleka hovyo hovyo laazma ikuchenjie
Kadhamiria hilo, Na leo karudia tena

Huyu akiachwa peke yake ni toxic equation

Muhoozi.jpg
 
Kadhamiria hilo, Na leo karudia tena

Huyu akiachwa peke yake ni toxic equation

View attachment 3335487
Mwisho wake mbaya. Tena mi bado kijana sanaaaa sitakufa kabla sijauona mwisho wake na atapinduliwa na jeshi lake mwenyewe. Dogo hajakua bado.
Bangi zinampoteza. Anadhani kuwatesa wapinzani ndo kuwa na jeshi imara🤣🤣🤣🤣🤣🤣
 
Baba ake si waleo wa kesho tuu yule kama mzeee wassss tuuu🤣🤣🤣
 
Mwisho wake mbaya. Tena mi bado kijana sanaaaa sitakufa kabla sijauona mwisho wake na atapinduliwa na jeshi lake mwenyewe. Dogo hajakua bado.
Bangi zinampoteza. Anadhani kuwatesa wapinzani ndo kuwa na jeshi imara🤣🤣🤣🤣🤣🤣
Huyo ni Munyankole, Jeshi la Uganda limejaa wanyankole vyeo vingi vya juu, sio rahisi.
 
Mods tafadhalini msipeleke post hii jukwaa la Uganda, Lile jukwaa halipo active

Hii leo taasisi ya haki za Binadamu Uganda imemuomba Muhoozi kumuachia Edward Mutwe, Mlinzi mkuu wa Bobi Wine (Mpinzani mkuu Uganda) aliemteka na kumpa mateso makali.

Muhoozi alijibu

LOO! Kama hawa watu wanathamini maisha tuliyowapa, WASIJE KUJARIBU kunitumia barua ya KIPUMBAVU kama hii tena ! Hili ni onyo lao la mwisho! Natarajia waniombe msamaha.
View attachment 3335316

Bobi Wine alionekana akiwa na mabalozi wa Ulaya, Muhoozi hakufurahishwa na jambo hilo akapost "Hili ni jambo la fedheha! @EUinUG mnachezea moto. Sawa ! (EUinUG ni wawakilishi wa Umoja wa Ulaya walioko Uganda)
View attachment 3335321

TUMEWAWEKA ALAMA wote, hususan huyu anayemsalimia Kabobi kwa mkono.
View attachment 3335339

Nawajibika kikamilifu kwa vitendo vya wanajeshi wangu, ikiwemo kumshushia kipigo kizito kwa muda mrefu Eddie Mutwe, kile ni kionjo tu !
View attachment 3335325

Wakati wa uchaguzi huu ujao, Wazungu walioko hapa nchini ambao hawamuungi mkono Mzee kwa moyo wote, wanapaswa kuwa makini. Tutawafukuza hadharani wasaliti wote!
View attachment 3335333

Sikufanya chochote kwa Eddie... Ninakuja kwa yule mjinga asiye na elimu anayeitwa Kabobi! Nitamteka hivi karibuni!"
View attachment 3335373

Bazungu wanaona wanaweza kunitisha? Nilikuwa nakabiliana nao kila wakati Sweden nikiwa mdogo, kupigana nao ilikuwa kama kupata breakfast, chakula cha mchana na usiko, Niko tayari kwao kila wakati
View attachment 3335379

Mimi, Muhoozi Kainerugaba, mwana wa Museveni, nina nguvu nchini hapa kumtimua balozi yeyote nisiempenda
View attachment 3335387

Tulimkamata KB, kisha Eddie Mutwe, sasa ninawaahidi Kabobi. Bado mnafikiria huu ni utani ? Bado sijaanza!
(KB ni Kizza Besigye mpinzani mkongwe alitekwa mwaka jana)
View attachment 3335401

Je, nilimpiga Eddie vya kutosha ? Wanaounga mkono wa retweet. Wanaopinga wa like.
View attachment 3335400

Tulipiga mujinga!! (Pichani ni Edward aliyetekwa na Muhoozi, aliteswa sana )
View attachment 3335410

Ninajivunia sana kwamba jeshi letu kubwa limetoa kipigo kikali kwa Eddie Mutwe ! Na bado tutapiga wengi zaidi.
View attachment 3335424

Mungu ibariki Uganda! Mungu libariki Jeshi la Uganda (UPDF) na Jeshi la Rwanda (RDF)
Mungu ibariki Rwanda.
View attachment 3335431


Ikiwa mtu yeyote kutoka NUP (chama kikuu cha upinzani) atafikiria kuanzisha maandamano Kampala, naahidi KUMUUA awe mwanaume au mwanamke. Hiyo ni ahadi yangu!
View attachment 3335434

Pia unaweza kusoma Muhoozi akijisifu kumteka Edward na mateso aliyompa

Vizuri amefanya vizuri mbwa tu anaweza kumwagiza mkuu wa majeshi?
 
Back
Top Bottom