MUHIMU KWA KESI ZA EPA, must read!

Anachosema Ubungoubungo ni kuwa kazi aliyokuwa anaifanya Learned Boniface ilikuwa ni ya kutukuka kwa Serikali. Viongozi serikali walilijua hili. Wanasheria wenzake, Majaji na wanasheria wa kujitegemea waliuenzi na kuheshimu utumishi wake. Sisi wengine wa magazeti ya udaku hatujui. Lakini sio anaotudai tungehudhuria, anawadai wanaojua. Ukiachilia mbali viongozi wa kisiasa je; kuna wanataaluma wenzake wangapi walioguswa na kifo cha Boniface?
Watanzania wengi moyo wa upendo wa dhati hawana. Watanzania wa sasa kwa kila jambo wanajiuliza watafaidika nalo vipi leo au kesho. Jambo la jana halina thamani teni mioyoni mwa watanzania. Sio kweli kwamba viongozi wa kisiasa walimpenda sana marehemu Kanumba, hapana! Kwa kuwa sanaa inavuta watu wengine wanasiasa wanataka waonekane wako pamoja na kundi la wasanii na wapenda sanaa. Kundi la wapenda sanaa ni vijana, wasio na kazi hata wamachinga ni wengi kuliko kundi lolote. Wanasiasa hawaendi kwa kuwapenda la hasha, wanaenda kwa maslah ya kesho ya kisiasa zaidi.
Njaa ya kesho ndiyo inayotawala. Mkuu wa majeshi hana kundi na wala hata rudi tena kumlinda Rais. Boniface halikadhalika. Wanasiasa wa Tanzania wanaishi kwa kujipendekeza. Mfano wakuu wa mikoa, wa Wilaya na viongozi wengine wlienda kwenye msiba wa Kanumba kwa kuwa Raisi alikuwepo hivyo hoja ya kuwepo ni ili waonekane na mkubwa.
 
Usiwalaumu.kina nape wao wanachofafanya ni kutafuta misiba inayogusa watu wengi ili wapate kuonyesha hurumabyao kwa maslahi zao kisiasa zaidi. Ila la kaka boniface inawezekana hakupata kusikiza sana sababu ya mazingira ya kazi yake.
 
usimwongelee dpp wala mwanasheria mkuu. jua kuwa huyu jamaa alikuwa acting deputy dpp, hivyo walikuwa wanakaa floor moja na dpp walitengana tu vyumba, walikuwa wanafanya kazi pamoja pale sukari house, wala mwanasheria mkuu usiseme, ni watu wa ndani ya ofisi. ongelea mawaziri wengine wa nyanja zingine, ongelea watu walioshabikia sana na kulia kwaajili ya mafisadi wa epa na wengine wote hadi kukamatwa kwa watuhumiwa. lakini yule anayewashughulikia hakuthaminiwa na mzigo wote ulibwagwa mikononi mwake. frankly speaking, ilihitajika zaidi ya vile ilivyokuwa, na ninamuunga mkono mtoa mada kwasababu nilikuwa namjua bon pia, alifanya kazi pale kwa miaka nadhani zaidi ya 15.
 
Nakubaliana na mleta mada kuwa kifo cha Bonifasi na mazishi yake yalichukuliwa katika Low profile sana!!!! Kuna walioshangilia!!! But nasikia alitoka katika safari na umauti ukamkuta usiku!!! Hivi ni kifo cha ghafla au nini? Haieleweki!!! Ni siri ya Dr. aliyemfanyia uchunguzi!! Kwa hakika nilitegemea iwe ni pigo kwa serikali na wangeonesha ushiriki wao zaidi!! Hao viongozi waandamizi toka wizara ya sheria na kule kwa DPP ni lazima wangekuwepo tu kwa kuwa ulikuwa ni msiba wao!! Nilitegemea levels nyingine senior za serikali ziwepo pia!!! So sad, gone to soon kabla hujamaliza kuwaweka katika pilato wale wa EPA na wengine!! Mysterious death!!
 

Deleloitte & Touche of South Africa recomended legal action against 12 officials it deemd were implicated in the EPA transactions. He deliberately discarded the ample evidence found by the audit firm and instead diluted the list to only 4 officials. U call that "jembe"? No my learned brother, allow me to differ. In this particular case professionalism was sacrificed at the expense of natural justice.
 

Ngagarupalu:
Ni kweli kuna Fumba ya magazeti na vyombo vingine vya Habari, kwa bahati mbaya haviendi kwa MAADILI ya kazi zao, Wameweka mbele UDAKU, UBINAFSI na TAMAA na hayo yamekuwa ndio mchango wao MKUU kwa jammi>
 
sijakuelewa, do you know what the story is all about? and do you know how state attorneys operate their prosecutions and the limits of their duties visa vi that of investigation and arresting policemen?
 
mara nyingi nafikiri watu hufanya wema ili waonwe na wengine wapate sifa, wapate cheo, wapate kura, wafanikiwe kimaisha etc. ni aina moja wapo ya unafiki kutofanya jambo kwa moyo.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…