Andrew Mushi
JF-Expert Member
- Dec 13, 2016
- 630
- 696
Najaribu kusaidia kama tulivyoagizwa Na niko very serious kwa hili, bipolar ni ugonjwa wa akili, kuna watu wanahitaji kupata msaada, dalili nyengine zaidi ya zilizoongelewa hapa chini kwa utafsiri wake ni kama, kufoka foka ovyo, wasi wasi, kutoambilika, maudhi (irritable), kupata na nguvu za ajabu ajabu, kuongea kwa kutumia nguvu nguvu pasipo hitajika, kucheka cheka pasipo chekwa, yaani muathirika hasomeki na familia au jamii iliyomzunguka, hamuangalii mtu usoni,
Kukosa usingizi, kukesha wakati wa kuzidiwa,
Muathirika anafanya maamuzi ya ajabu pasipo kujali matokeo yake...
Kwa zaidi pitia link hapo chini
Kupata kuelewa madhara Na matibabu hapa..
Bipolar disorder - Wikipedia
Kukosa usingizi, kukesha wakati wa kuzidiwa,
Muathirika anafanya maamuzi ya ajabu pasipo kujali matokeo yake...
Kwa zaidi pitia link hapo chini


Kupata kuelewa madhara Na matibabu hapa..
Bipolar disorder - Wikipedia