Muhimu-Biashara

Muhimu-Biashara

Tayukwa

JF-Expert Member
Joined
Dec 11, 2014
Posts
2,180
Reaction score
4,422
Waungwana nahitaji msaada wenu wa kupata eneo /Frem kwa ajili ya biashara ya saluni ya kiume,
Pia nahitaji vifaa vyote muhimu kwa ajili ya kuanza kazi hiyo.
NOTE: Gharama za vifaa hivyo na eneo hilo visiwe na sifa ya kumfanya mtu achukie kuanza harakati za kujikomboa kiuchumi..
Ahsanteni natarajia ushirikiano mwema.
 
Back
Top Bottom