Tayukwa
JF-Expert Member
- Dec 11, 2014
- 2,180
- 4,422
Waungwana nahitaji msaada wenu wa kupata eneo /Frem kwa ajili ya biashara ya saluni ya kiume,
Pia nahitaji vifaa vyote muhimu kwa ajili ya kuanza kazi hiyo.
NOTE: Gharama za vifaa hivyo na eneo hilo visiwe na sifa ya kumfanya mtu achukie kuanza harakati za kujikomboa kiuchumi..
Ahsanteni natarajia ushirikiano mwema.
Pia nahitaji vifaa vyote muhimu kwa ajili ya kuanza kazi hiyo.
NOTE: Gharama za vifaa hivyo na eneo hilo visiwe na sifa ya kumfanya mtu achukie kuanza harakati za kujikomboa kiuchumi..
Ahsanteni natarajia ushirikiano mwema.