nyumbamungu
JF-Expert Member
- Mar 3, 2017
- 997
- 828
Nimeona bidhaa (kimiminika)mnayozalisha inayoitwa "Morizella Juice Diet Doctor" kama kinywaji hicho nyie ndio mliokibuni kulikuwa na ulazima kuiweka picha ya Mtu mweupe? (Mzungu) kama yeye ndio mbunifu kwa nini hamjaonesha sura yake?