Muhammad sio mzao wa Ishamael

WAGALATIA mnaumizwa kweli na UISLAMU

Yaani Kila siku mnasema waislamu wana chuki na nyinyi ila dhahiri inaonyesha nyinyi mna chuki kubwa mno na UISLAMU

Humu Kila siku mnashusha thread za hovyo ambazo hata wenyewe hamuelewi.

WEWE ENDELEA KUMUABUDU MUIGIZAJI SINEMA
 

Attachments

  • images.jpeg
    32.2 KB · Views: 10
sio tena mwana wa adam?
haya daudi kwa upande gani wakti hakuwa na baba
Nakuelewa sana hii hoja yako, sababu watu wanabeba vinasaba vya baba zao ni uongo mkubwa kusema Yesu ana nasaba ya mfalme Daudi au Adamu.

Sayansi na historia zinatambua nasaba inatoka upande wa baba. Kama Yesu alikuwa na nasaba basi alikuwa ni mtoto mwenye baba mwanadamu.
 
Aliyesema ni cha wakristo nani? Ila nina uhakika sio chenu.
Sio Musa tu na Taurati yake manabii wote na vitabu vyote vya Mungu ni vya waislam

Quran 42:13
Amekuamrisheni Dini ile ile aliyo muusia Nuhu na tuliyo kufunulia wewe, na tuliyo wausia Ibrahim na Musa na Isa, kwamba shikeni Dini wala msifarikiane kwayo.
 
Acha kuchanganya mambo usiyoyajua hilo kanisa unalosema hapo sio kanisa katoliki lenye asili ya rumi.hilo ni kanisa liloanzishwa misri nahao wa orthodox.hujui uliza kanisa katoliki halifaninishwi na makanisa mengine yao ndo wanajifananisha
 
Yesu kristu alimaliza kila kitu hakuna aliyekuja nyuma yake
 
Hivi yale majambia mawili kwenye bendera ya saudi arabia yanamaana gani??
 
Na hizo nchi ndo zenye magaidi wengi
 
Acha uongo wakristu hizo nchi wanaishi km wakimbizi,wanafanya ibada kwa kujificha km wanavuta bangi
 
Kina nani walimfunulia mwamedi dini??wako wangapi?
 
sio tena mwana wa adam?
haya daudi kwa upande gani wakti hakuwa na baba
Yesu Hana jina moja

Muite mwana wa selemara, mwana wa mariam, mwana wa MUNGU, mwana wa daudi, mwana wa Adam

KRISTO au masihi
 
BWANA awapiganie watu wake
 
Ni BWANA wa BWANA, MUNGU wa miungu, MFALME WA Aman na mfalme wa wafalme

Ana majina mia je ni nan huyo?
Yesu huyu huyu aliyekuwa anacheza kombolela na watoto wenzake katika mitaa ya Galilaya ndio Mungu wa Miungu?

Yesu huyu huyu aliyekuwa anatumwa dukani na mama yake akanunue unga wa ngano na mafuta ya taa ndio Mungu wa Miungu?

Wewe itakuwa Kuna shida katika ubongo wako
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…