Nicholas
JF-Expert Member
- Mar 7, 2006
- 25,260
- 7,217
Kuna dalili hawa die hard wasioweza kubali kuwa wanaweza kufa bila kuwa marais hata kwa saa moja kuamua chukua ushindi bila kura.Dalili zinaanza onekana kwa watu wengi wengine wana CCM wenye nafsi kubwa ktk chama wakisema kuwa .Chadema isitegemee pea dola, wengine wakisema 2015 kamwe CCM hawatotoa nchi, na maneno mengine km ya akina wasira, Nape na wengine kama mstaafu Shimbo.Hii ni dalili hawa jamaa,wanaweza kuja na option ya kijinga kama ya Kenya na Zimbabwe.Je nini mawazo ya watu kwenye hili?