GAZETI JF-Expert Member Joined Feb 24, 2011 Posts 5,292 Reaction score 6,770 Jul 22, 2019 #1 Siongezi neno hapo.
S Salary Slip Platinum Member Joined Apr 3, 2012 Posts 52,397 Reaction score 163,590 Jul 22, 2019 #2 Message sent kwa muhusika.
Daudi Mchambuzi JF-Expert Member Joined Nov 25, 2010 Posts 62,190 Reaction score 128,249 Jul 22, 2019 #3 cc Huseein Bashe
M Michael lusato Member Joined May 25, 2019 Posts 60 Reaction score 174 Jul 22, 2019 #4 babu yangu aliwai kuniambia hakuna mwanasiasa anaetetea wananchi wengi wanaongea ili waonekane wanafaa kuliko waliopo ili wapewe nafasi watafune maisha...amini nakwambia jamaa atakua kimya kuliko copy ya picha ya maji! Mda utasema
babu yangu aliwai kuniambia hakuna mwanasiasa anaetetea wananchi wengi wanaongea ili waonekane wanafaa kuliko waliopo ili wapewe nafasi watafune maisha...amini nakwambia jamaa atakua kimya kuliko copy ya picha ya maji! Mda utasema
FRANC THE GREAT JF-Expert Member Joined May 27, 2016 Posts 5,500 Reaction score 8,065 Jul 22, 2019 #5 Kuna msemo wa zamani unasema; nanukuu, "Si busara kuongea wakati wa kula" Mwisho wa kunukuu!
Ngushi JF-Expert Member Joined Jul 8, 2016 Posts 9,064 Reaction score 18,367 Jul 22, 2019 #6 Wenyewe wanasema hapo Boflo ngumu imemalizwa chini kwa kakikombe kadogooo ka chai
safuher JF-Expert Member Joined Feb 11, 2019 Posts 12,314 Reaction score 18,168 Jul 22, 2019 #7 GAZETI said: View attachment 1159743 Siongezi neno hapo. Click to expand... Yaani jamaa inaonesha kwamba sasa jivi atatulia tuliii bungeniii sio kama zamanii
GAZETI said: View attachment 1159743 Siongezi neno hapo. Click to expand... Yaani jamaa inaonesha kwamba sasa jivi atatulia tuliii bungeniii sio kama zamanii
data JF-Expert Member Joined Apr 9, 2011 Posts 26,945 Reaction score 23,888 Jul 23, 2019 #8 Hahaahahaaa