mlingoti west
JF-Expert Member
- Mar 16, 2020
- 252
- 195
Kwa hali ilivyo ndani ya Chadema mh MBOWE (KUB) anapaswa KUJITATHIMINi kama Bado anafaa kuongoza CHADEMA. Kwa miaka mingi chadema imepoteza viongozi, wabunge mahiri kwa kufukuzwa au kujiuzuru, haitoshi tu kusingizia eti wananunuliwa, hawezekani hao wote.
Kwa mustakabali wa Chadema wapishe wengine waongoze. Maamuzi yako mengi ni ya kidikteta ya hovyo na yasiyo na busara yenye kuleta mkwaruzano usio wa lazima na serikali, bunge polisi na taasisi zingine. Hii inapelekea kuwapa wakati mgumu wabunge wa Chadema, viongozi na hata wanachama. Taifa hili linahitaji umoja, hivyo hivyo Chadema.
Sent using Jamii Forums mobile app
Kwa mustakabali wa Chadema wapishe wengine waongoze. Maamuzi yako mengi ni ya kidikteta ya hovyo na yasiyo na busara yenye kuleta mkwaruzano usio wa lazima na serikali, bunge polisi na taasisi zingine. Hii inapelekea kuwapa wakati mgumu wabunge wa Chadema, viongozi na hata wanachama. Taifa hili linahitaji umoja, hivyo hivyo Chadema.
Sent using Jamii Forums mobile app
