Sina shaka kwamba idadi kubwa ya wa tz wanaelewa nafasi zao katika kuchagua uongozi unaowafaa. Swali ni Je, watu wote wenye umri unaoruhusiwa kupiga kura wamejiandikisha? Napendekeza katiba mpya iwekesheria ya kumlazimisha kila mtazania mwenye umri wa kupiga kura apige kura!