Nimekuwa najiuliza sana kwamba unaruhusiwa kugegeduana na mwanamke muda gan kabla ya kujifungua?......maana niliwahi kuambiwa kuwa eti hata cku moja kabla ni ruksa tu...sasa kwa mnaofahamu hebu nijuzeni
Mm aliyekuwa mke wangu nilimgegeda usiku kamaa saa nne then saa nane akapata uchungu na kushusha kamanda la nguvu.soo haina madhara kiafya japo huwa kuna mananiii yanabaki bak lakin mtoto anaoshea safiiiii
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.