YeshuaHaMelech
JF-Expert Member
- Oct 12, 2010
- 2,596
- 38
poor Egyptian....have won? :twitch:Egyptian Official says that the Protesters have won.
poor Egyptian....have won? :twitch:
Hivi maandamano haya yoote lengo tu Mubarak atoke? Mi nilidhani walikuwa na vya msingi...whoops!
Kwa hiyo hata mambo yakizidi kuwa ovyo, maadam Mubarak kajiuzulu shukran? Poor Egyptians!
Mi nadhani hizi nchi zetu zina matatizo mengi sana ya kimfumo wa kiuongozi. Akiondoka anamuachia nani ofisi...makamu wake. Hapa ni kubadili sharti na kuvaa lingine. Mfumo mzima unapaswa kubadilishwa. Na hauwezi kubadilishwa na watu walio ndani ya serikali ile ile.
poor Egyptian....have won? :twitch:
Hivi maandamano haya yoote lengo tu Mubarak atoke? Mi nilidhani walikuwa na vya msingi...whoops!
Kwa hiyo hata mambo yakizidi kuwa ovyo, maadam Mubarak kajiuzulu shukran? Poor Egyptians!
anajuwa hilo na ameanza kujiandaaaaaa
Natumaini na huyu jasusi Omar Suleiman naye ataondoka.
What? Kheheeeheeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeee!Go back to school buddy!
What? Kheheeeheeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeee!
Watoto wa babu Wenger should go to skuli....:twitch:
Vifaru, mabomu maji ya kuwasha, imekuwaje tena. Kumbe sasa naanza kuelewa maana ya nguvu ya umma. duhhh!
According to CNN CIA has said that Mubarak could step down today!