Queen Esther
JF-Expert Member
- Apr 5, 2012
- 2,206
- 1,464
Habari za jioni GT's, amani iwe nanyi.
Leo Tumeona Mhe. Rais akitembelea Hosp ya Taifa Muhimbili na kujionea wodi ya wazazi wakiwa wamelala chini.
Yafuatayo ni maoni yangu nini kifanyike kutatua matatizo haya ya Muhimbili.
1. Wagonjwa wanaotakiwa kulaza Muhimbili wawe ni referral case tu. Case Kama kujifungua mtu hana madhara basi aende Hosp za wilaya.
2. Kutokana na wingi huo wa wagonjwa na madaktari na manesi kidogo basi ni dhahiri mzigo unaopigwa Muhimbili sio wakawaida.
3. Muhimbili na MUHAS inahitaji kuajiri vijana wengi wenye nguvu na kasi ya hapa kazi tu!! Muhimbili imejaza wazee kila kona na hawataki kuajiri, hili ni tatizo kubwa. Wengine wanakimbilia miaka 80 sasa, hivi Muhimbili hakuna succession plan??? Hii inavunja moyo vijana. Na hawa vigogo ni mbogo hawataki new blood ziajiriwe kabisa. Wako buzy kupeana promotion even at above retirement age. Pia wana mtandao wao wakupeana vyeo kulinda retires. Hivi inakuwaje vyeo vya juu karibu vyote vishikwe na retirees. Hata pale anapotokea mwenye uwezo na elimu na uzoefu sawa na huyo retirees bado huyo retiree anakuwa ni chaguo lao. Ubinafsi Wa namna hii unaipeleka wapi sekta ya Afya???
Kama mtu ana miaka 75 sasa hebu jiulize tangu amestaafu akiwa na miaka 60, je ameshindwa kumuandaa mtu Wa kurithi hiyo nafasi yake??? Hii ni dalili hawa Ma prof ni wabinafsi Wa kufa mtu, na ndio wanaoua Muhimbili. Kila new blood wakija na new ideas HAWATAKI!!!
4. Muhimbili inahitaji kuajiri CEO mwenye background ya MBA au nyingine tofauti na medicine. Hawa Ma doctor na Ma professa wabaki wakitumikia profession yao. Wawaachie wengi mambo ya uongozi.
5. Hospitali za wilaya nchi nzima ziboreshwe mtu asione haja ya kwenda Muhimbili kwa case ndogo ndogo.
6. Kuna vijana kibao wamemaliza medicine na speciality wanao uwezo Wa kufanya hizo kazi usiku na mchana. Na NIA ya dhati na kweli wanayo. Serikali itoe ajira za kutosha kwa manesi na madaktari. Ukimuondoa Profesa mmoja aliyestaafu anayelipwa kiinua mgongo kila miaka miwili, mshahara na pensheni, hapo unaajira madaktari tena wenye speciality watatu.
7. Muhimbili ianzishe mradi Wa KULIPIA shs 200 kwa saa kwa kila Gari inayoingia. Pesa zitumike kuboresha wodi za wamama na watoto. Pia vile vitegauchumi vyote vilivyoko Muhimbili vipitiwe upya. Pia waangalie new income generating projects.
8. Mashirika yote ya umma yana fungu la "Corporate Social Responsibility" pesa hizi ambazo minimum ni shs milioni 100 kwa kila CEO kwa mwaka zitumike kwenye huduma za jamii hasa wanawake na watoto na madawati kwenye shule zenye uhitaji. Mambo ya kupeleka misaada shule za Academy kwa kweli haileti maana na kuna watoto wanakaa chini. Huko Academy wana kila kitu. Pia mchango Wa NHIF kwenye sekta ya Afya Iangaliwe upya!!! Mbona makusanyo ni makubwa nini kinaendelea??
9. Muhimbili inahitaji kufanyiwa thorough auditing. Pesa zinazoingizwa kila siku ni ngapi na ngapi zinaenda hazina nk. Pia kuna watoa huduma mbali mbali (service provider) wametoa mabei makubwa mno ya huduma wanazotoa. Hili ni jipu.
10. Muhimbili inahitaji system nzuri ya ku monitor mapato, natamani wajifunze huku private Hosp Kama Agakhan, Regency, Kairuki, TMJ nk huko makusanyo yako wazi na system iko wazi hata kubaini kwa siku wamehudumia wagonjwa wangapi kila idara.
Hapa unahitaji kupeleka barua vyuo vikuu kuna vijana wa IT na computer science wako vizuri up stairs. Wapewe terms of reference watengeneze system inayo suite needs ya hospital yetu. Washindi kumi wachukuliwe kuanzia yule Wa kwanza. Haitagharimu hata mil 50 na ina advantage kuwa ni In-house na customary based. Hao vijana 10 waajiriwe hapo Muhimbili na project iko take off waendeleze kwenye hospital zote za Serikali. Itaokoa mapato na itaboresha huduma. Na vijana wetu watapata ajira.
11. Maslahi ya watoa huduma za Afya yaboreshwe.
12. Mapato na matumizi - Budget ya Muhimbili iwekwe wazi na ijadiliwe kwa UZALENDO.
13. Mashine ziongezwe tena za kisasa zikiwemo theatres kupunguza foleni kubwa za wagonjwa wanaofanyiwa upasuaji. Hii ni chanzo cha rushwa wakati mwingine.
14. .. (Ongezea hapo TUSAIDIE Muhimbili ambako sasa ni India ya TZ) uzalendo utumike zaidi maana hatujui nani kesho ataenda kulala pale.
Queen Esther
Leo Tumeona Mhe. Rais akitembelea Hosp ya Taifa Muhimbili na kujionea wodi ya wazazi wakiwa wamelala chini.
Yafuatayo ni maoni yangu nini kifanyike kutatua matatizo haya ya Muhimbili.
1. Wagonjwa wanaotakiwa kulaza Muhimbili wawe ni referral case tu. Case Kama kujifungua mtu hana madhara basi aende Hosp za wilaya.
2. Kutokana na wingi huo wa wagonjwa na madaktari na manesi kidogo basi ni dhahiri mzigo unaopigwa Muhimbili sio wakawaida.
3. Muhimbili na MUHAS inahitaji kuajiri vijana wengi wenye nguvu na kasi ya hapa kazi tu!! Muhimbili imejaza wazee kila kona na hawataki kuajiri, hili ni tatizo kubwa. Wengine wanakimbilia miaka 80 sasa, hivi Muhimbili hakuna succession plan??? Hii inavunja moyo vijana. Na hawa vigogo ni mbogo hawataki new blood ziajiriwe kabisa. Wako buzy kupeana promotion even at above retirement age. Pia wana mtandao wao wakupeana vyeo kulinda retires. Hivi inakuwaje vyeo vya juu karibu vyote vishikwe na retirees. Hata pale anapotokea mwenye uwezo na elimu na uzoefu sawa na huyo retirees bado huyo retiree anakuwa ni chaguo lao. Ubinafsi Wa namna hii unaipeleka wapi sekta ya Afya???
Kama mtu ana miaka 75 sasa hebu jiulize tangu amestaafu akiwa na miaka 60, je ameshindwa kumuandaa mtu Wa kurithi hiyo nafasi yake??? Hii ni dalili hawa Ma prof ni wabinafsi Wa kufa mtu, na ndio wanaoua Muhimbili. Kila new blood wakija na new ideas HAWATAKI!!!
4. Muhimbili inahitaji kuajiri CEO mwenye background ya MBA au nyingine tofauti na medicine. Hawa Ma doctor na Ma professa wabaki wakitumikia profession yao. Wawaachie wengi mambo ya uongozi.
5. Hospitali za wilaya nchi nzima ziboreshwe mtu asione haja ya kwenda Muhimbili kwa case ndogo ndogo.
6. Kuna vijana kibao wamemaliza medicine na speciality wanao uwezo Wa kufanya hizo kazi usiku na mchana. Na NIA ya dhati na kweli wanayo. Serikali itoe ajira za kutosha kwa manesi na madaktari. Ukimuondoa Profesa mmoja aliyestaafu anayelipwa kiinua mgongo kila miaka miwili, mshahara na pensheni, hapo unaajira madaktari tena wenye speciality watatu.
7. Muhimbili ianzishe mradi Wa KULIPIA shs 200 kwa saa kwa kila Gari inayoingia. Pesa zitumike kuboresha wodi za wamama na watoto. Pia vile vitegauchumi vyote vilivyoko Muhimbili vipitiwe upya. Pia waangalie new income generating projects.
8. Mashirika yote ya umma yana fungu la "Corporate Social Responsibility" pesa hizi ambazo minimum ni shs milioni 100 kwa kila CEO kwa mwaka zitumike kwenye huduma za jamii hasa wanawake na watoto na madawati kwenye shule zenye uhitaji. Mambo ya kupeleka misaada shule za Academy kwa kweli haileti maana na kuna watoto wanakaa chini. Huko Academy wana kila kitu. Pia mchango Wa NHIF kwenye sekta ya Afya Iangaliwe upya!!! Mbona makusanyo ni makubwa nini kinaendelea??
9. Muhimbili inahitaji kufanyiwa thorough auditing. Pesa zinazoingizwa kila siku ni ngapi na ngapi zinaenda hazina nk. Pia kuna watoa huduma mbali mbali (service provider) wametoa mabei makubwa mno ya huduma wanazotoa. Hili ni jipu.
10. Muhimbili inahitaji system nzuri ya ku monitor mapato, natamani wajifunze huku private Hosp Kama Agakhan, Regency, Kairuki, TMJ nk huko makusanyo yako wazi na system iko wazi hata kubaini kwa siku wamehudumia wagonjwa wangapi kila idara.
Hapa unahitaji kupeleka barua vyuo vikuu kuna vijana wa IT na computer science wako vizuri up stairs. Wapewe terms of reference watengeneze system inayo suite needs ya hospital yetu. Washindi kumi wachukuliwe kuanzia yule Wa kwanza. Haitagharimu hata mil 50 na ina advantage kuwa ni In-house na customary based. Hao vijana 10 waajiriwe hapo Muhimbili na project iko take off waendeleze kwenye hospital zote za Serikali. Itaokoa mapato na itaboresha huduma. Na vijana wetu watapata ajira.
11. Maslahi ya watoa huduma za Afya yaboreshwe.
12. Mapato na matumizi - Budget ya Muhimbili iwekwe wazi na ijadiliwe kwa UZALENDO.
13. Mashine ziongezwe tena za kisasa zikiwemo theatres kupunguza foleni kubwa za wagonjwa wanaofanyiwa upasuaji. Hii ni chanzo cha rushwa wakati mwingine.
14. .. (Ongezea hapo TUSAIDIE Muhimbili ambako sasa ni India ya TZ) uzalendo utumike zaidi maana hatujui nani kesho ataenda kulala pale.
Queen Esther