Muache haka katabia

Dlight

Member
Joined
Jan 20, 2019
Posts
21
Reaction score
10
Habari wa kuu...
kumekuwa na katabia ka watu kupostiana watsapp status, hivyo kupelekea watu kurequest sana mara naomba namba ya huyu dem mara namba ya huyu bro na hata wakati mwingine bila salam.

Rai:Tusalimiane kabla ya kuomba namba.
 
There is no great welth in this world than peace of mind
 
sasa we unataka tuombe sketi wanazovaa au ?
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…