Mtwara tech 1999-2003 mpo

Ernest Da Vinci

Senior Member
Dec 5, 2011
115
28
Jaman kama kuna mtu yyte alibahatka kusoma mtwara tech ktk kpndi hcho nadhan atanisom vema,pale viboko vsivyo na idadi ndo ilikuwa chakula,manyanyaso na uonevu ndo usiseme,nasikitika ile haiku2jenga bali kutupotezea mwelekeo wa kitaaluma,mifano nnayo mingi iliyotokana na hizo inhuman acts za walimu wa pale.Kama bado inaendelea nawaomba watu wa haki za binadamu waende wakajionee jinsi watu wanavyopotezewa future.Mwathirika
 
Back
Top Bottom