Mtwara - Mwaka 2020...??


Safi sana Mkuu,
Ujajua kwa hali tuliyonayo sasa hapa Tanzania, tunatakiwa tuweke malengo ya 'ukweli'.
Maana, bila hivyo, kila siku tutaambiwa eti sisi 'nchi maskini' ..!!
wakati tuna mali asili kibao..!!
 
tukumuongezea muda wa kutawala I see bwagwa moyo in that
 
kwakweli akili yako ww ni ndoigo sanaaaa.yani ukashindwa kujua kuwa mtwara hakuna milima matokeo yake umeleta picha yako ya propaganda za kijinga humu.shame on you.
 
Hakuna lisilo wezekana,2030 itawezekana ikiwa magome yalishong'olewa
 
Kandoto kako kazuri aisee! kwanini umeamka mapema? Endelea kulala utaota mengine mazuri kuliko hayo.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…