Mu-Israel naangalia hii hadithi yako halafu narejea kwa wana Mtwara walio katika harakati za kutaka uwazi wa mikataba ya gesi, nahisi wanasukumwa na kiu ya haraka ya maendeleo kwa kua na Taswira hizo!
Miaka 7 ni muda mchache sana kwa miradi mikubwa kama hiyo kutekelezwa. Na itoshe kusema, hiyo michoro sio ya mji wa Mtwara....lakini naheshimu mawazo yako bro!