Sasa kama uongozi wa M4C unapitia humu jamvini ufanye ziara Tanga kwani nimegundua wananchi wengi wanashauku kubwa sana lakini wanakosa fursa ya mashambulizi ya nguvu.NI WENGI WANATAKA KUVUA MAGAMBA KWA UONGOZI WA KITAIFA KWA THAMANI ILEILE KAMA KUSINI.