Mtungi wa gas used

Mtungi wa gas used

DONALD

JF-Expert Member
Joined
Feb 18, 2010
Posts
275
Reaction score
35
Kwa anayeuza mtungi wa GAS 15kg,ambao umetumika(used)

naomba anicheki 0712 077671( Whatsap)

Bajeti 40,000/-
 
Mkuu MTUNGI Mpya wa kg15 in tsh 45000, kwa nini utafute wa zamani?
 
Kwa anayeuza mtungi wa GAS 15kg,ambao umetumika(used)

naomba anicheki 0712 077671( Whatsap)

Bajeti 40,000/-
hakuna mtungi used na ukitaka mpya uende kiwandani, maana hat huo mpya gesi ikiisha lazima ukabadilishe na wowote utakaokuta kwa seller au la uwe unaenda kiwandani kujaza hiyo gesi ili ubakie na huo mpya,
 
hujasema unataka wa kampuni gani,kuna Oryx,Lake Gas,Manjis,Mihan Gas,Cam Gas,OilCom Gas na iliyokuwa Agip,BP,Alpha Gas Nk. Na mitungi mizuri ni ile used ndo mara nyingi haina vacuum,ikiwa mipya kabisa utatumia siku zako mbili za mwanzo kutoa hewa. Na kama unataka kwa matumizi ya nyumbani cha kuangalia ni product availability sehemu ulipo na pia zingatia bei.
 
Back
Top Bottom