Mtumwa wa ngono

Mtumwa wa ngono

Hv hme hamna house girl? uwe unapunguza muemuko maana kasi ya vidole vinapukutika na umri bado marahaba.
 
Mie sioni haja ya kukushauri!unanguvu za kutosha kwa hiyo ni haki yako
 
Usiruhusu mawazo ya kingono yakutawale ndo matokeo yake lazma upige puri...
 
Bado kijana mdogo, huna Kazi huna majukumu huna, hulipi kodi, hununui chakula wala kutegemewa na yoyote, ukikua ukayapata hayo Mbona utaacha tu!

Mbona mimi ninayo kazi, nalipa kodi, nanunua chakula na nina tegemewa na mdogo wangu, lakini nina tatizo kama la huyo jamaa.

Tufikiri tofauti, mtu anayeomba msaada ni vema ukamsaidia kuliko kuitumia nafasi hiyo kumkosoa.
 
kama punyeto piga tuu kijana...piga sana 1x3...........then ukifika 30+ uje hapa tukutibu matatizo ya nguvu za kiume, huku ukuni unasimama kwa kubahatisha mno.......
 
wewe lijana tulizana wala usidhani una problem...kwa umri huo wala usipate presha mie miaka hiyo nilikuwa napiga nyeto 4 tyms a day yaani na vile nilikuwa chuo basi nikiona leggings tuu basi ujue lazima nitafute toilet ya karibu hapo campus.
sasa la msingi mwanawane wewe tafuta hela ili uweze kugegeda kadri mgegedo unavyotaka.
 
Back
Top Bottom