DuaZaMama
JF-Expert Member
- Jun 2, 2025
- 1,882
- 4,129
Kuhani Musa amewajia juu wale wanaobeza juhudi za Mh. Rais Samia katika kuleta maendeleo nchini. Amesema amepokea nchi katika mazingira magumu, na kwa yale aliyoyashuhudia, ifike mahali tumwogope Mungu. Ameeleza kuwa ni akili za darasa la saba kuona kwamba “huyu ni Mwislamu, mimi ni mchungaji” ninapomkataa, jambo ambalo ni kueneza udini. Amesisitiza kuwa huo ni ubaguzi wa dini na ametoa wito kutoeneza chuki hizo.
Pia Soma: Nabii aliyechangiwa Milioni 100 na Rais Samia, Kuhani Musa adai atazungumza mema aliyofanya Rais
Pia Soma: Nabii aliyechangiwa Milioni 100 na Rais Samia, Kuhani Musa adai atazungumza mema aliyofanya Rais