Unakuta Mtumishi wa Umma au Taasisi Binafsi ana familia kabisa lakini kapanga vyumba viwili, hana usafiri (gari private) na mlo wake na mavazi ni wa hovyo hovyo tu. Si uache kazi uangalie upande mwingine wa maisha ? Shida nini ?!
Unang'ang'ana kwenye daladala na watoto aisee ! Watoto hawazaliwi ili waje kusota huku duniani. Unazaaje wakati huna uhakika na maisha yako , Why?
Mtu analipwa mshahara mpaka laki 9 ( take home ) lakini unaishi kijinga jinga kama mkimbizi. Why usikope hata Mil 15 huko ubadilishe maisha yako ? Kula nyama mpaka mganga aseme.
Kopa kopa kopa to the Maximum! Acha woga.