Superbug
JF-Expert Member
- Jan 31, 2018
- 12,417
- 30,926
watumishi wa umma mathalani walimu hakuna mshahara unaowawezesha kukopa milioni 75 hakuna mikopo yao inaishia m 13 mpk 20 labda misufuria lakini sio mikopoWenye akili wamekuelewa Mkuu uko sahihi kabisa.
NMB, Benki ya Zanzibar na Serikali kupitia Hazina wanatoa Mikopo mpaka Mil.75 kwa wafanyakazi lkn wafanyakaz wengi wanaishi kama alivyoeleza mleta mada sijui wana shida gani kisa tu kujisifu kwamba mishahara yao haikatwi mikopo. Amazing