Mtumishi unakosa nyumba , magari na maisha bora ! Si ujilipue kwenye mshahara wako ?

Unakuta Mtumishi wa Umma au Taasisi Binafsi ana familia kabisa lakini kapanga vyumba viwili, hana usafiri (gari private) na mlo wake na mavazi ni wa hovyo hovyo tu. Si uache kazi uangalie upande mwingine wa maisha ? Shida nini ?!

Unang'ang'ana kwenye daladala na watoto aisee ! Watoto hawazaliwi ili waje kusota huku duniani. Unazaaje wakati huna uhakika na maisha yako , Why?

Mtu analipwa mshahara mpaka laki 9 ( take home ) lakini unaishi kijinga jinga kama mkimbizi. Why usikope hata Mil 15 huko ubadilishe maisha yako ? Kula nyama mpaka mganga aseme.

Kopa kopa kopa to the Maximum! Acha woga.
Ujilipue then uelekee wapi kwenye magari na maisha bora?
 
Ingawa umeandika kimadharau ila kwa mbaali unapoint...ila jua wanatoka kwenye malezi tofauti tofauti...mtumishi aliyetokea bushi most probably kipao mbele chake kitakua kununua kiwanja na kujenga kwahiyo ataishi maisha ya magumu sana mpaka hiyo nyumba iishe maana atakuwa anazika mshahara wake kwenye ujenzi....mtumishi aliyezaliwa magomeni most probably kipao mbele chake cha kwanza ni kununua IST na kupiga misele weekend kwasababu ni vitu alikua anavitamani siku nyingi ila basi tu alikua hana kiremba
 
Unakuta Mtumishi wa Umma au Taasisi Binafsi ana familia kabisa lakini kapanga vyumba viwili, hana usafiri (gari private) na mlo wake na mavazi ni wa hovyo hovyo tu. Si uache kazi uangalie upande mwingine wa maisha ? Shida nini ?!

Unang'ang'ana kwenye daladala na watoto aisee ! Watoto hawazaliwi ili waje kusota huku duniani. Unazaaje wakati huna uhakika na maisha yako , Why?

Mtu analipwa mshahara mpaka laki 9 ( take home ) lakini unaishi kijinga jinga kama mkimbizi. Why usikope hata Mil 15 huko ubadilishe maisha yako ? Kula nyama mpaka mganga aseme.

Kopa kopa kopa to the Maximum! Acha woga.
Laki 9 unaona kuuuuuuuubwa !!!!! Maskini hahahahahahaa! Inawezekana we huna ajira! Unabangaiza kitaaa! Haahahaa

Ungejua machungu ya mkopo! Usingenena chochote !
 
Ukute jamaa bado linakula na kulala kwa shemeji huku likisikilizia dadake anavyopigwa bao! Eti nalo linajidai kutoa ushauri! Hivi kula nyama ndicho kipimo cha maisha bora?
 
16 Reactions
Reply
Back
Top Bottom