Asilimia kubwa ya watu walioajiriwa wanafanya kazi wasizozipenda. Kuacha kazi sio kitu rahisi lazima ujipange.unaweza kuacha kazi uliyonayo baade ukajilaumu. Ndo maana mtu ana kazi inampa kula .kulipa kodi n.k hamna za kusave lakini haachi hiyo kazi.
Bora uwe na kazi kuliko kutokua na kazi kabisa.
Simaanishi iyo kazi uliyonayo hata kama hailipi ukomae nayo. Unaweza kutafuta nyingine.
Bora uwe na kazi kuliko kutokua na kazi kabisa.
Simaanishi iyo kazi uliyonayo hata kama hailipi ukomae nayo. Unaweza kutafuta nyingine.