Mtumishi benki ya EXIM kamatwa na mamilioni ya wizi gesti

Uko sahihi kabisa Hawa vijana hawajui kabisa wanaiba wanakaa na mihelaa yote wakati watu wanakaa hata miaka 2 hawagusi hata Mia na wako mjini tu
Kna jamaa alipiga Hela kwenye kampuni moja ya sm Enzi hzo wanapiga
Kujua watu ilichkua Miaka
Jamaa kma fala ukimuona Mlokole Hvi
Utasema katoka shamba Leo kja mjini
Sahv a nakula pnshen tu

Ova
 
Bankers wengi wanalipwa kidogo..mishahara haiwatoshi..kila siku wanaona hela kwa nini tamaa zisiwaingie
 
Duh kaiba pesa afu kaenda kujificha gest jamaa chizi kweli unaiba pesa dodoma afu unaenda kujificha bahi

Duh kweli akili kumkichwa kanikumbusha kuna jamaa alimpa mwanafunzi mimba huko kahama afu jamaa akaenda kujificha kagongwa
Ungekuwa mtihani naamini ungekuwa ushafeli.
 
Sasa huyo abgetoboa umkute mtaani na tako la nyani mtaani mademu zetu wangekoma
 
Hii imenikumbusha yule dada branch manager wa Barclay's Kino branch(Jina kpuni)
Walipiga Hela na mme wke.... Hesabu zikafeli
Mchongo waliyopanga ulienda syo

Ova
Namkumbuka pia....alikua anachkua hela za bank anampa mme wake azungushe afu mme wake akashindwa kurudisha zile pesa ikabidi wafanye mchongo wakakodi watu kufanya kama tukio la wizi wa bank ili ionekane pesa ziliibiwa....walifanikiwa kutengeneza tukio na polisi wakaamini ni bank robbery kweli badae staff mmoja wa palepale barclays ndio akachomoa betri akasema ukweli kwamba wakati inqfanyika bank robbery pesa zilikua zishaisha strongroom zilibaki chenjichenji tu.. ndio kisa cha yule dada kudakwa afu mmewe akalala mbele.
 
Watu mnataarifaa
 
Watu mnataarifaa
Hata huyu dogo wa exim namfahamu...alikua branch ya tanga kabla ya kuhamishiwa Dom kama chief cashier....anamacho yenye malienge na big forehead...bahati mbaya sina picha yake humu.. ukimuona ni boya hivi ila ndo kashafanya yake
 
Wizi wa kishamba,kanikumbusha vijana wa kinyiramba waliiba pesa NBC Moshi wakaenda kufunga madishi na kununua TV kwenye nyumba za Tembe na jeneretor kila siku ni mziki tu,wakafukia pesa kwenye mfano wa kaburi,walikamatwa kama Kuku wa kideli.

mwingine wa pale Msambiazi Korogwe naye akachimba shimo chini ya kitanda na kuzifukia huko,naye akadakwa kama kuku aliyezongwa na utitiri hana pa kukimbilia,yaani huu wizi wa kishamba balaaaaa
 
Kna jamaa alipiga Hela kwenye kampuni moja ya sm Enzi hzo wanapiga
Kujua watu ilichkua Miaka
Jamaa kma fala ukimuona Mlokole Hvi
Utasema katoka shamba Leo kja mjini
Sahv a nakula pnshen tu

Ova
Aisee alitulia kama hana hata miaa
 
dogo wa IFM huyu, anatumia fedha kwa mademu, sasa amekamatwa.
Ile nyumba aliyojenga Goba ichukuliwe iwe ya serukali.
Pia muroto umejifunza saa hi hautumii tena ma press na nguo za kwendea field, dah kumbe lile neno la IGP lilikuingia japo linauma
 
Bank kwenyewe siku hizi wamekuwa wezi

Daaah kweli maisha yamewapiga
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…