pistmshai
JF-Expert Member
- Dec 12, 2016
- 1,313
- 3,683
1. Anaizima na kuiweka kando usiku akiwa amelala. Halali na simu akiwa anaperuzi mtandao hadi saa tisa usiku. Usingizi ni jambo linalopewa kipaumbele na watu walio-smart.
2. Ana-turn off notifications muda wa kazi. Hii ni kwa ajili ya kuongeza umakini juu ya shughuli yake ya uzalishaji anayoifanya.
3. Anaweka simu kando pale anapokuwa anaongea na mtu. Hii hudhihirisha nidhamu yake na kuonesha kuthamini mazungumzo mbele ya mtu unayeongea naye.
4. Anawapa kipaumbele watu ambao ni muhimu zaidi katika mawasiliano kama vile wazazi na wafanyakazi wenzake.
5. Hawabadilishi badilishi model za simu eti kisa tu! model mpya imeingia sokoni.
Kwa kifupi watu werevu wanamiliki simu; ila hawaruhusu simu zao ziwamiliki.
2. Ana-turn off notifications muda wa kazi. Hii ni kwa ajili ya kuongeza umakini juu ya shughuli yake ya uzalishaji anayoifanya.
3. Anaweka simu kando pale anapokuwa anaongea na mtu. Hii hudhihirisha nidhamu yake na kuonesha kuthamini mazungumzo mbele ya mtu unayeongea naye.
4. Anawapa kipaumbele watu ambao ni muhimu zaidi katika mawasiliano kama vile wazazi na wafanyakazi wenzake.
5. Hawabadilishi badilishi model za simu eti kisa tu! model mpya imeingia sokoni.
Kwa kifupi watu werevu wanamiliki simu; ila hawaruhusu simu zao ziwamiliki.