Lancashire
JF-Expert Member
- Sep 20, 2014
- 14,045
- 10,329
Ulitaka tuuchaguwe ule mzoga lowassa?
Nyumbu at work, kazi yenu kuvizia vizia kama mafisi na kuwaombea mabaya ccm na viongozi wake wakati kwenu ya dikteta mbowe na fisadi lowaasa hamyaoni. Kweli nyAni haoni ... na mtaisoma namba
Umeshaisoma namba 88888888 zinakuhenyesha kichwani pole sana dumia hedex utakaa sawa tu.Hizi kurupukurupu hizi ambazo hazina critical analysis, zitaimaliza Tanzania. Sasa ona badala ya kuchunguza kwa kina nini kilisababisha MRI na Sit Scan kufa na je zilihitaji matengenezo au kununuliwa mpya? mnatoa order tu na kulipa mabilioni ya kodi zetu zitengenezwe huku mkikodolea macho kamera....Ona sasa siku tatu zimekufa zinahitaji mabilioni mengi
Tanzania ili isonge mbele inahitaji mtu aliyetulia mwenye kuchuja jambo kwa kina.
Mtu huyo sio mwingine bali ni.....
Tatizo halikuwa kwa CCM au Dkt Magufuli. Tatizo lilikuwa upinzani kuweka mtu wa hovyo ambae ni fisadi na mtu dhoofu kabisa, huyo fisadi Lowassa. Sababu ya CHADEMA kukataliwa nchi nzima na Watanzania ni kutokana na maamuzi ya Mbowe na Mtei kukiuza chama kwa fisadi Lowassa. Hivyo lawama zote waelekezeeni hawa watu wawili: Mbowe na Lowassa.
Unafahamu zimewezesha maisha ya wagonjwa wangapi hizo mashine kwa muda huo mfupi zilipokua nzima? Je unafikiri maisha ya wangapi yangekua umautini kama hata zoezi la kuzikarabati kwa kufanya kazi kwa muda mfupi lisingefanyika? Kipi kina thamani,hizo bilioni unazosema kupotea au uhai wa watu?
Tatizo halikuwa kwa CCM au Dkt Magufuli. Tatizo lilikuwa upinzani kuweka mtu wa hovyo ambae ni fisadi na mtu dhoofu kabisa, huyo fisadi Lowassa. Sababu ya CHADEMA kukataliwa nchi nzima na Watanzania ni kutokana na maamuzi ya Mbowe na Mtei kukiuza chama kwa fisadi Lowassa. Hivyo lawama zote waelekezeeni hawa watu wawili: Mbowe na Lowassa.
Nyumbu at work, kazi yenu kuvizia vizia kama mafisi na kuwaombea mabaya ccm na viongozi wake wakati kwenu ya dikteta mbowe na fisadi lowaasa hamyaoni. Kweli nyAni haoni ... na mtaisoma namba
Tatizo halikuwa kwa CCM au Dkt Magufuli. Tatizo lilikuwa upinzani kuweka mtu wa hovyo ambae ni fisadi na mtu dhoofu kabisa, huyo fisadi Lowassa. Sababu ya CHADEMA kukataliwa nchi nzima na Watanzania ni kutokana na maamuzi ya Mbowe na Mtei kukiuza chama kwa fisadi Lowassa. Hivyo lawama zote waelekezeeni hawa watu wawili: Mbowe na Lowassa.
Mbona huu ndio mzoga zaidi?Ulitaka tuuchaguwe ule mzoga lowassa?
Nyumbu at work, kazi yenu kuvizia vizia kama mafisi na kuwaombea mabaya ccm na viongozi wake wakati kwenu ya dikteta mbowe na fisadi lowaasa hamyaoni. Kweli nyAni haoni ... na mtaisoma namba
Mbona huu ndio mzoga zaidi?