Mbona anaweza kusoma advance kwa comb ya HKL au HGL sifa anazo lakini shule za private, unajua nyie wazazi hamna utamaduni wa kusomesha wstoto private zenye ada ya 1.5m. CCM alisha wapumbaza.
Mkuu ungetupa Mwongozo Ili tujue tunakushauri vipi Yani ungetuambia kipaumbele mtoto anataka kusomea nini au fani/faculty gani vyuo ni vingi ukisema tu chuo gani hapo Kila chuo kinamfaa mbona ni Hela yako tu
Kwa ufaulu huo kwa nn asiendelee na kidato cha sita kwa mfumo wa kujitegemea!? mana naona ana sifa zote za kuendelea na masomo kama private candidate kwa mwaka mmoja tu, ambapo mwaka kesho anafanya mtihan wa taifa vizuri kabisa! kama utaona hili wazo ni zuri naomba tuwasiliane 0679168264
Kwa ufaulu huo kwa nn asiendelee na kidato cha sita kwa mfumo wa kujitegemea!? mana naona ana sifa zote za kuendelea na masomo kama private candidate kwa mwaka mmoja tu, ambapo mwaka kesho anafanya mtihan wa taifa vizuri kabisa! kama utaona hili wazo ni zuri naomba tuwasiliane 0679168264
Muulize yeye anapenda kusomea kitu ngani
Vyuo kama IFM, CBE, TIA, AIA, MIPANGO, DIT ana anzia cheti mpaka diploma alafu akipenda Anaweza uganisha Degree