nuruyamnyonge
JF-Expert Member
- Mar 18, 2014
- 4,439
- 2,287
Asalaam aleykum!
Nianze kwa kuwapa hongera wabunge kwa kazi kubwa mlioifanya juu ya wezi wa pesa za umma kwenye account ya Escrow.
Kwa maridhiano yenu leo; mmeliweka Taifa kwenye hadhi yake na watanzania tumewaamini, hasa wabunge wa ukawa na ukawa ccm.
Mzee Pinda sasa Zingatia ushauri wa Mbowe chapa kazi. Tuko pamoja. Poleni sana watuhumiwa wote; karibuni uraiani kuna jembe la mkono njooni tuunge mkono kilimo kwanza, maisha bora kwa kila mtanzania.
Nianze kwa kuwapa hongera wabunge kwa kazi kubwa mlioifanya juu ya wezi wa pesa za umma kwenye account ya Escrow.
Kwa maridhiano yenu leo; mmeliweka Taifa kwenye hadhi yake na watanzania tumewaamini, hasa wabunge wa ukawa na ukawa ccm.
Mzee Pinda sasa Zingatia ushauri wa Mbowe chapa kazi. Tuko pamoja. Poleni sana watuhumiwa wote; karibuni uraiani kuna jembe la mkono njooni tuunge mkono kilimo kwanza, maisha bora kwa kila mtanzania.