Afande Fojuman
JF-Expert Member
- Sep 27, 2014
- 650
- 534
Susan Njeri (42) Raia wa Kenya amefikishwa Mahakamani kwa tuhuma za kumuambikiza Mtoto wa jirani yake mwenye miezi 9 virusi vya UKIMWI, Susan anadaiwa kumnyonyesha Mtoto huyo akiwa anatambua kuwa anaishi na VVU baada ya jirani yake kumuacha nae.