Mtoto wa mchina

chetuntu

R I P
Joined
Jan 10, 2011
Posts
949
Reaction score
113
Kuna dada mmoja alizaa na mchina, baada ya miezi tatu, mtoto akafariki ghafla. Basi maziko yakaandaliwa . Mama akawa analia kwa uchungu sana, huku akitamka nilijua tu jamani mie! Wamama wakamtuliza wakamuuliza ni nini kwani? Akajibu nilijua vitu vya mchina havidumu.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…