bikira mzee
Member
- Apr 21, 2014
- 45
- 6
Mimi ni binti nilichelewa kidogo kuolewa nilipoolewa nilimkuta mume wangu na mtoto wa miaka saba,ambe bado alikua anaishi kwa mama yake alioolewa na mtu mwingine.baada yakufunga ndoa tu tulifanya taratibu zakumchukua kwa mama yake aliekua akihudumiwa yeye na mtoto toka mimba.
Chakushangaza mtoto tulilupa nursery ya english medium lakini tulikuja kugundua hasomi huko tunapolipa fedha anasoma shule ya hapo hapo mtaani kwao.toka kuzaliwa mumewangu alikua akinyimwa kumuona mtoto mara kwa mara licha ya kumuhudumia.siku waliotupa mtoto walitupa akiwa uchi na mwenye afya duni.
Nimejitahidi kama mama kurekebisha afya ya mtoto nakumuombea kwa Mungu .
Hasalimii mtu akisema sijawazoea.anazungumza maneno magum kiasi kwamba nakufa moyo wakumpenda nimemchapa ilipobidi sijawahi kumuonea.
Amekua akienda kwa mama yake kusalimia naakirudi anarudi na mambo ya ajabu kuliko mwanzo,nampenda mume wangu namhurumia kwani anaumia sana juu ya jambo la mtoto .
Mama mtoto hajawahi hata nipigia simu hatakunisalimia wala hatakujua mtoto analala wapi na anaishije.nifanyaje wanajamii sitakikufanya roho mbaya japo naumia
Chakushangaza mtoto tulilupa nursery ya english medium lakini tulikuja kugundua hasomi huko tunapolipa fedha anasoma shule ya hapo hapo mtaani kwao.toka kuzaliwa mumewangu alikua akinyimwa kumuona mtoto mara kwa mara licha ya kumuhudumia.siku waliotupa mtoto walitupa akiwa uchi na mwenye afya duni.
Nimejitahidi kama mama kurekebisha afya ya mtoto nakumuombea kwa Mungu .
Hasalimii mtu akisema sijawazoea.anazungumza maneno magum kiasi kwamba nakufa moyo wakumpenda nimemchapa ilipobidi sijawahi kumuonea.
Amekua akienda kwa mama yake kusalimia naakirudi anarudi na mambo ya ajabu kuliko mwanzo,nampenda mume wangu namhurumia kwani anaumia sana juu ya jambo la mtoto .
Mama mtoto hajawahi hata nipigia simu hatakunisalimia wala hatakujua mtoto analala wapi na anaishije.nifanyaje wanajamii sitakikufanya roho mbaya japo naumia