Mtoto na daladala

Mshume Kiyate

JF-Expert Member
Joined
Feb 27, 2011
Posts
6,764
Reaction score
908
Baada ya kufikiria sana mtoto akaamua kumuuliza mama yake: mtoto anamuliza mama hivi mama wewe pamoja na baba mbona amnipendi, mama akasema kwa nini mwanangu. mtoto akajibu: baba kanunua daladala bila kuniambia, mama akamuuliza mtoto wewe na kakwambìa? mtoto akajibu:mimi kila siku mmkiwa mmelala namsikia baba anakuambia mke wangu ikisimama panda, yule mama akajibu kweli mwanangu lakini daladala yenyewe imekamatwa na Sumatra uwezi kusikia tena napanda
 
hahahahahahaha! mbavu zanguuuuuuuuuuuuuuuuuuuuuuuuuuuuuu!
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…